Tuesday 7 June 2016

WAGONJWA WA SALATANI YA MATITI KUTIBIWA MIAKA KUMI

LIKE PAGE YETU HAPA
BZ TV BONYEZA PICHA HII
https://www.youtube.com/watch?v=8hLupLJKJsw
Utafiti mpya umebaini kuwa wanawake ambao wamewahi kuugua saratani ya matiti huenda wakanufaika na chembechembe zinazozuia ugonjwa huo kwa muda mrefu zaidi kuliko muda wa sasa wa miaka mitano.
Utafiti huo uliofanywa na wanasayansi kutoka Marekani na Canada umebaini kuwa kutumia dawa hizo kwa miaka kumi badala ya mitano unapunguza uwezekano wa saratani hiyo kurejea kwa theluthi moja.

Visa vingi vya saratani ya matati husababishwa na homoni za kike zinazofahamika kama 'Oestrogen' na dawa za kuzia homoni hizo hutumia sana.https://www.youtube.com/watch?v=8hLupLJKJsw
Watafiti hao wanasema matokeo ya utafiti huo huenda yakabadili matibabu kwa mamilioni ya wanawake.
Watafiti hao pia wameonya kuwa dawa za kuzuia homoni hiyo zinaathari kubwa kama kuvunjika kwa mifupa na kukosa hamu ya kujamiana.

ULIPITWA NA KITUKO HIKI ONA HAA MTU WANGU

No comments:

Post a Comment

advertise here