layiii
bonyeza picha itakupeleka moja kwa moja katika video ya makabidhiano huko ikulu
Rais Dkt John Pombe Magufuli
akipeana mikono kwa furaha na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete aliyefika jana Ikulu jijini Dar es salaam kukabidhi rasmi
Ofisi ya Rais.
Wanajeshi wa
Marekani wametekeleza shambulio la kutoka angani lililomlenga
mwanamgambo wa Islamic State kutoka Uingereza ajulikanaye kama "Jihadi
John", Pentagon amesema.
Mohammed Emwazi, Mwingereza aliyezaliwa
Kuwaiti, alilengwa kwenye shambulio hilo lililotekelezwa karibu na mji
wa Raqqa, nchini Syria.
LAYIII
Kama ni mpenzi wa video za ajabu ajabu basi video hii inakuhusu mwangalie mwanamke aliyeendesha baiskeli yake kwa kidole cha mguu wake bila kudondoka mtu wangu
kama unapendelea kucheka unaweza chukua muda wako pia kuche na hili hapa alilofanya huyu kaka la kujifanya kipofu
Richard Bukos CHA KUFIA! Msanii wa muziki wa Injili Bongo,
Emmanuel Mbasha, Alhamisi iliyopita alinaswa kwenye maongezi
yaliyoambatana na pozi lenye maswali kwa kuonekana akichukua namba
fastafasta kwa mrembo ‘kifaa’.
Good Morning mtu wangu asubuhi yako inaendaje? Inawezekana uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita, pengine ulikuwa busy na hukuzipata zote kwenye kuperuzi na kudadisredioni ila nilizozirekodi zote ziko hapa.
Wajawazito wafichua madudu ya hospitali ya mkoa wa Arusha,Mt. Meru
baada ya kukosa vipimo muhimu kama Ultra-sound na hivyo kulazimika
kwenda hospitali binafsi ili kupata huduma hiyo, vita