Wednesday 27 April 2016

TENGENEZA PESA MTANDAONI NA IQ OPTIONS NAFASI YAKO SASA SIMU YAKO TU INATOSHA KUFANIKISHA YOTE HAYO

LAYIII
BONYEZA PICHAA HII KUJARIBU BAHATI YAKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4M3Dg0EerFqwDK9i9LhBQ6STPHsBrNKfqrM85K2VB1FS4oPzkvTGCr712pIcdqXxejeSsquXaDbJjoBenUZuRYZrccUtez58SKfxu336sqkSIk4Blvpv7wXQOVlYUeFKAkvSjos5FdkU/?imgmax=800
Unachotakiwa kufanya ni kubonyeza ndani ya sekunde 60 tu utakuwa umetengeneza zaidi ya 85% faida
kadilia ni mwelekeo upi bei itaelekea kama itapanda au itashuka kisha utatengeneza zaidi ya 85% kama utaweza kufauru kukadilia

JISAJIRI HAPA KWA MAJARIBIO

SNURA WIMBO WA CHURA UMENIRUDISHA KIMUZIKI

LAYIII
Snura:Hakuna utata Chura amenirudisha kwenye nafasi kubwa ndani ya muziki wangu.
Msanii wa muziki na filamu Snura Mushi,amedai kuwa wimbo wake wa chura ni chaguo la Watanzania hivyo anaamini kwamba utaweza kumuinua baada ya kukaa kwa muda kidogo.
Akizungumza Stura alisema kuwa pamoja na kukaa kimya lakini bado kibao hicho ambacho tayari kipo kwenye video kimeshika nafasi ya juu kiasa kwamba mashabiki wake wamekuwa wakimtumia maoni ya kumpongeza.

MR BLUE NA ALIKIBA MBIONI KUACHIA MZIGO MKUBWA

LAYIII
Mr Blue kuachia Mkwaju na King Kiba.
Nota wa Bongo Fleva, Herry Samir ‘Mr Blue’ ambaye hivi karibuni aliuaga ukapera kwa kuamua kufunga pingu za maisha na mzazi mwenzake, Wayda, amedai anatarajia kuachia wimbo mpya ambao amemshirikisha Ali Kiba.
Mr Blue amedai kwamba wimbo huo utajulikana kwa jina la ‘Mboga Saba’
Akizungumza na MTANZANIA, Mr Blue alisema kuwa wimbo huo upo tayari na anatarajia kuuachia wiki

advertise here