Saturday 5 November 2016

MWANAMKE MWENYE NYWELE NDEFU DUNIANI

MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
https://youtu.be/C7fG2st2u7AMwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza Asha amedai hawezi kuzikata nywele hizo.

Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha pamoja na kuzikausha nywele zake.

Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.
article-2396679-1B59DD9C000005DC-682_634x795
Bi. Mandela
article-2396679-1B59DDA0000005DC-270_308x635
Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
article-2396679-1B59DDB0000005DC-499_634x461
article-2396679-1B59DEA0000005DC-646_634x807
article-2396679-1B59DEA4000005DC-808_634x489
article-2396679-1B59DEBB000005DC-310_634x745
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
article-2396679-1B59DECC000005DC-415_634x371
article-2396679-1B59DEE8000005DC-561_306x593
article-2396679-1B59DF10000005DC-918_634x552
article-2396679-1B59DF64000005DC-627_308x593
article-2396679-1B59DF68000005DC-263_306x635
article-2396679-1B59DF71000005DC-778_634x579

SUMU YA NYOKA NI DAWA YA KUMALIZA UCHUNGU

Bonyeza picha hi kuiona video usiache kulike share comment na subscribe mtu wangu

Sumu yake itatumika kutengeneza dawa ya kumaliza uchungu
Joka mwenye sumu kali zaidi duniani huenda akawa jibu la kupatikana dawa ya kupunguza uchungu. Hii ni kwa mujibu ya wanasayansi.
Joka anayejulikana kama 'Blue Coral' ndiye mwenye sumu kali zaidi na hupatikana zaizi Kusini Mashariki mwa Bara Asia. Utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la afya la Toxin umepata joka huyo huwalenga maadui wake ambao husababisha uchungu kwa binadamu.

POLIS WA KIKE WA KIISLAMU KUVAA IJABU SASA

Serikali ya Scotland imeidhinisha vazi la hijabu na kulijumuisha kwenye sare za maafisa wa polisi wa kike wa Kiislamu ili kuongeza idadi yao katika idara hiyo.

Mkuu wa idara ya polisi nchini humo Phil Gormley, ametoa maelezo na kubainisha furaha kubwa kwa kutangaza uamuzi huo, na kufahamisha nia yao kutaka kusaidiana na maafisa wa Kiislamu katika suala la usalama wa taifa.

advertise here