Thursday 5 May 2016

SNURA AWAOMBA RADHI WATANZANIA AKABIDIWA CHETI BASATA

SWAXBZ
13139342_1096943017015782_4396998989636500375_n[2]
Baada ya jana serikali kupitia Wizara ya Habari kutoa agizo la kumfungia Snura kutojihusisha na shughuli za muziki kutoka wimbo wake na kutojisajili Baraza la Sanaa Taifa (BASATA), leo mwanamuziki huyo na meneja wake HK wameomba radhi kwa umma katika Ukumbi wa Habari Maelezo, jijini Dar.

advertise here