Thursday 1 December 2016

USAJIRI WA MZAMBIA YANGA WAKAMILIKA

https://youtu.be/V03uLM9J03I
Timu ya Dar es Salaam Young Africans leo December 1 2016 imetangaza kumsajili kiungo raia wa Zambia Justine Zulu, kiungo huyo amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili.
Yanga imemsajili Justine Zulu kutokea timu ya Zesco United ya Zambia, kwa taarifa hiyo sasa ni rasmi Justine Zulu ataungana na kocha wake wa zamani ambaye amejiunga na Yanga hivi karibuni

VIDEO: JUSTIN BERBER ANAAMINI INSTAGRAM NI YA SHETANI


Justin Bieber amekuwa mbali na mtandao wa Instagram tangu mwezi August 2016 ambapo alijiondoa rasmi kwenye mtandao huo hali ambayo imesababisha mashabiki wake kumiss kumuona kwenye mtandao huo ambao unamuwezesha mtumiaji kutuma picha pamoja na video.
Akiwa kwenye show yake London aliuliza mashabiki “nani angependa nirudi Instagram?

advertise here