MKAZI wa Kitongoji cha Njisi, Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela, Tummanye Makula (35) , amekaa na ujauzito miezi 13 na kushindwa kujifungua.
Hata hivyo, baada ya maombezi, alijikuta akijifungua chura na baadaye mdudu wa ajabu akiwa na manyoya meusi.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya dada huyo kumpigia simu Mchungaji wa Kanisa la Tample Of Prayer For All Nations Church, Nabii Charles Mkuvasa wa mjini Kyela akihitaji kuombewa.
Alicuhukua hatua hiyo baada ya kukaa na ujauzito kwa muda wote huo na kushindwa kujifungua, licha ya
Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion
anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na
hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya
manispaa ya Ilala.
Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza
kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya
kufunguliwa mashtaka mapya.
Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi
hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja
akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.
Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka
yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi
Gavyole walisema ushahidi umekamilika.
Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule
amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30
mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .
Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion
alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi
wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya
awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE
Watazamaji wa anga wanajiandaa kuuona mwezi mkubwa zaidi wakati ambapo utakaribia dunia tangu 1948.
Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu
jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21
muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita
MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Mwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele
zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza Asha amedai hawezi
kuzikata nywele hizo.
Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya
kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha
pamoja na kuzikausha nywele zake.
Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa
nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani
akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza
kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata. Bi. Mandela Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele
zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe.
Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela,
ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili,
anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
Bonyeza picha hi kuiona video usiache kulike share comment na subscribe mtu wangu
Joka mwenye sumu kali zaidi duniani
huenda akawa jibu la kupatikana dawa ya kupunguza uchungu. Hii ni kwa
mujibu ya wanasayansi.
Joka anayejulikana kama 'Blue Coral' ndiye
mwenye sumu kali zaidi na hupatikana zaizi Kusini Mashariki mwa Bara
Asia. Utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la afya la Toxin umepata
joka huyo huwalenga maadui wake ambao husababisha uchungu kwa binadamu.
Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye
Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25
na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500
zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari
inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria
BONYEZA HAPA SUBSCRIBE
Kuna baadhi ya watu husema mbwa hufanana na wale wanao wamiliki lakini kuna baadhi ya mbwa ambao wamekuwa na ushawishi na mvuto zaidi kwa mastaa wanao wamiliki
Endelea kushuka chini kwa video kali usiache kusubscribe
CJ Senter alianza mazoezi yake ya kuweka mwili na viungo vyake sawa tangu akiwa na umri wa miaka 5 huko america. Akiwa na umri wa miaka kumi senter alianza kutoa video kwa dvd zikimwonesha umbile lake(six pacs) na kupelekea kuingia katika chat za watoto wenye nguvu zaidi duniani
SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA
The lady who garnered the title of Illustrated Lady
is covered in tattoos. Literally, she has covered 95 percent of her
figure with different kinds of tattoos. This achievement has also earned
her a place in the Guinness Book of World Records. Julia Gnuse is, indeed, a very unique woman.
Scroll down for video
This is Julia Gnuse
5 Viral World Amazing Records
Julia
is an American woman from Flint, Michigan. When she was in her
mid-thirties, she was diagnosed with the disease porphyria, and that
became a turning point in her life.
The disease is signified by
skin that gets wounded when the person is exposed to the sunlight.
Porphyria can be inherited or happen spontaneously. King George III and Mary, Queen of Scots
Pango la kurber- limekuwa likijulikana kama ndio pango lenye urefu mkubwa kupita yote duniani pango hili linakadiliwa kuwa na urefu wa mita 2,197 na ndio linalo julikana kwa sasa kama ndio pango kubwa kupita yote duniani.
"" The
cave, which is located in Arabika Massif of the Gagra Range in the
western region of the Caucasus in South Russia. The entrance is high
up at an altitude of 2,256 meters, with a very narrow entrance. Over the
years, cavers have sought to completely discover all the cave’s
chambers. ""
This
limo is not your ordinary dude. It holds the Guinness Book of World
Record for the heaviest limo ever made. It weighs 22,933 kgs and is
70-foot long and 13-foot wide. It was designed by American designers Pamela Bartholemew and Michael Machado.
Midnight Rider is a good but quite strange name, but before you make up
your own story behind it, you have to know that its horn plays the
theme song from the film Midnight Rider, so that’s why it’s named like that.
How will you know that a celebrity is approaching during a red-carpet
premiere? When a limousine’s in view. That’s how stars make an elegant
entrance—stepping out from a stretch limo and getting down to a
Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi
katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa
ameamua kuingia katika chumba cha kulala.
Mwenye nyumba hiyo Trina
Hibberd kutoka eneo la Queenland aliamka siku ya jumatatu na kumuona
nyoka huyo mwenye urefu wa mita 5.2 amejipinda katika kitanda chake.
Aliwasha taa ya chumba hicho kabla ya mtaalam wa kushika nyoka Dave Goodwin kuwasli.
LIKE PAGE YETU HAPA
Kanisa la urefu wa mita 16 lililojengwa kwa kutumia vigae vya glasi
linalofanana na viatu vyenye visigino virefu vinavyopendwa sana na
wanawake limejengwa huko Taiwan kwa lengo la kuwavutia wanawake zaidi.
Bonyeza picha kuiona video usiache kusubscribe nami youtube Likiwa limejengwa kwa kutumia vigae vya glasi takriban 320,kanisa
hilo la rangi ya buluu lina upana wa mita 10 na limegharimu takriban
dola 686,000.
Picha iliopigwa juu ya kanisa hilo pia imeonyesha ukubwa wa kanisa hilo pamoja na uzuri wa eneo lililojengwa.
Jino kubwa la nyangumi limepatikana
ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la kwanza kwamba nyangumi wakubwa
hatari sana waliishi mbali na Amerika.
Mkusanyaji wa visukuku
Murray Orr alipata jino hilo lenye urefu wa sentimeta 30 (inchi 12)
ufukweni Beaumaris Bay karibu na mji wa Melbourne mwezi Februari.
Alilikabidhi kwa makumbusho ya Victoria, ambayo yalianza kulionesha kwa umma Alhamisi.
Inakadiriwa
kwamba nyangumi mwenye jino hilo aliishi zaidi ya miaka milioni tano
iliyopita. Alitoka kwa aina
Kiongozi wa chama cha Conservative
cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike
wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.
Katibu
huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama
kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu
siasa za