Showing posts with label maajabu. Show all posts
Showing posts with label maajabu. Show all posts

Tuesday, 14 February 2017

MAAJABU: MIMBA MIEZI 13 AJIFUNGUA CHUA NA MDUDU MWENYE MANYOA MEUSI


Na Ibrahim Yassin, Kyela
MKAZI wa Kitongoji cha Njisi, Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela, Tummanye Makula (35) , amekaa na ujauzito miezi 13 na kushindwa kujifungua.

Hata hivyo, baada ya maombezi, alijikuta akijifungua chura na baadaye mdudu wa ajabu akiwa na manyoya meusi.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya dada huyo kumpigia simu Mchungaji wa Kanisa la Tample Of Prayer For All Nations Church, Nabii Charles Mkuvasa wa mjini Kyela  akihitaji kuombewa.
Alicuhukua hatua hiyo  baada ya kukaa na ujauzito kwa muda wote huo na kushindwa kujifungua, licha ya

Thursday, 17 November 2016

KINGINE KUHUSU SCOPION MTOA MACHO HIKI HAPA

Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya manispaa ya Ilala.

Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya kufunguliwa mashtaka mapya.

Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.

Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi Gavyole walisema ushahidi umekamilika.

Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30 mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .

Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE

Monday, 14 November 2016

MWEZI MKUBWA ZAIDI KUONEKANA DUNIANI

Mwezi mkubwa zaidi kuonekana

Watazamaji wa anga wanajiandaa kuuona mwezi mkubwa zaidi wakati ambapo utakaribia dunia tangu 1948.

Uingereza itakuwa na fursa nzuri kuuona mwezi huo siku ya Jumatatu jioni,licha ya kuwa utakaribia dunia mwendo wa saa tano na dakika 21 muda wa GMT ambapo utakuwa umbali wa kilomita

Saturday, 5 November 2016

MWANAMKE MWENYE NYWELE NDEFU DUNIANI

MWANAMKE anayetambulika kwa jina la Asha Mandela anaongoza kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
https://youtu.be/C7fG2st2u7AMwanamke huyo ambaye anadaiwa kuonywa na madakati juu ya urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza Asha amedai hawezi kuzikata nywele hizo.

Mama huyo aishiye Atlanta mwenye umri wa miaka 47 anayeweka rekodi ya kuwa na rasta ndefu duniani ameweka wazi humchukua siku mbili kuosha pamoja na kuzikausha nywele zake.

Katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya mwanamke huyo ameeleza kuwa nywele zake zimekuwa ni sehemu ya maisha yake na hatoweza kuzikata kwani akifanya hivyo ni sawa na kujiuua.
Pamoja na kuonywa na madaktari kuwa urefu wa nywele zake unaweza kumsababishia tatizo la kupooza, Asha Mandela amesema hawezi kuzikata.
article-2396679-1B59DD9C000005DC-682_634x795
Bi. Mandela
article-2396679-1B59DDA0000005DC-270_308x635
Nywele zake ni ndefu kuliko bus(gari)
Mama huyo mwenye mtoto mmoja aishiye Atlanta, Georgia amesema: Nywele zangu zimekuwa sehemu yangu. Ni maisha yangu. Sitozikata kamwe. Kuzikata itakuwa ni kama kujiua. Itakuwa ni sawa na zombie.’
article-2396679-1B59DDB0000005DC-499_634x461
article-2396679-1B59DEA0000005DC-646_634x807
article-2396679-1B59DEA4000005DC-808_634x489
article-2396679-1B59DEBB000005DC-310_634x745
Mrs Mandela, 47, anashikilia Guinness World Record kwa kuwa na rasta ndefu zaidi duniani zenye urefu wa futi 55.
Humchukua siku mbili kuziosha na kuzikausha nywele zake. Mrs Mandela, ana mtoto mwenye miaka 11 aitwaye Zion aliyezaa na mume wake wa pili, anasema nywele zake zimesaidia uhusiano wake na mumewe.
Kwa sasa ameolewa na mume wa tatu na asili yake ni Trinidad and Tobago. Alianza kuzitunza nywele hizo miaka 25 iliyopita.
article-2396679-1B59DECC000005DC-415_634x371
article-2396679-1B59DEE8000005DC-561_306x593
article-2396679-1B59DF10000005DC-918_634x552
article-2396679-1B59DF64000005DC-627_308x593
article-2396679-1B59DF68000005DC-263_306x635
article-2396679-1B59DF71000005DC-778_634x579

SUMU YA NYOKA NI DAWA YA KUMALIZA UCHUNGU

Bonyeza picha hi kuiona video usiache kulike share comment na subscribe mtu wangu

Sumu yake itatumika kutengeneza dawa ya kumaliza uchungu
Joka mwenye sumu kali zaidi duniani huenda akawa jibu la kupatikana dawa ya kupunguza uchungu. Hii ni kwa mujibu ya wanasayansi.
Joka anayejulikana kama 'Blue Coral' ndiye mwenye sumu kali zaidi na hupatikana zaizi Kusini Mashariki mwa Bara Asia. Utafiti mpya uliochapishwa kwenye jarida la afya la Toxin umepata joka huyo huwalenga maadui wake ambao husababisha uchungu kwa binadamu.

Sunday, 23 October 2016

KUTANA NA MWANAMKE MNENE KULIKO WOTE DUNIANI

Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25 na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 zinazompa shida ya kujifanyia usafi na hata kula. Ripoti ya madaktari inaonesha kuwa mwanamke huyu anasumbuliwa na maambukizi ya bakteria

Thursday, 7 July 2016

VIDEO: KUTANA NA MBWA WATANO WALIO FANANA SURA NA MASTAA WAKUBWA DUNIANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE 
Kuna baadhi ya watu husema mbwa hufanana na wale wanao wamiliki lakini kuna baadhi ya mbwa ambao wamekuwa na ushawishi na mvuto zaidi kwa mastaa wanao wamiliki

Endelea kushuka chini kwa video kali usiache kusubscribe

Snoop Dogg

Ukimwona vizuri mbwa huyu anafanana kabisa

WATOTO 5 WENYE NGUVU ZAIDI DUNIANI

SUBSCRIBE HAPA MTU WANGU
Senter
8-the-strongest-kids-in-the-world05
 
CJ Senter alianza mazoezi yake ya kuweka mwili na viungo vyake sawa tangu akiwa na umri wa miaka 5 huko america. Akiwa na umri wa miaka kumi senter alianza kutoa video kwa dvd zikimwonesha umbile lake(six pacs) na kupelekea kuingia katika chat za watoto wenye nguvu zaidi duniani

Wednesday, 6 July 2016

KUTANA NA MWANAMKE MWENYE TATUU KULIKO WOTE DUNIANI

SUBSCRIBE YOUTUBE HAPA
The lady who garnered the title of Illustrated Lady is covered in tattoos. Literally, she has covered 95 percent of her figure with different kinds of tattoos. This achievement has also earned her a place in the Guinness Book of World Records. Julia Gnuse is, indeed, a very unique woman.

Scroll down for video

This is Julia Gnuse

  5 Viral
World Amazing Records
Julia is an American woman from Flint, Michigan. When she was in her mid-thirties, she was diagnosed with the disease porphyria, and that became a turning point in her life.
The disease is signified by skin that gets wounded when the person is exposed to the sunlight. Porphyria can be inherited or happen spontaneously. King George III and Mary, Queen of Scots

VIDEO MAAJABU: HILI NDIO PANGOKUBWA KUPITA YOTE DUNIANI

Subscribe youtube hapa 

Kurbera-Voronja

Pango la kurber- limekuwa likijulikana kama ndio pango lenye urefu mkubwa kupita yote duniani pango hili linakadiliwa kuwa na urefu wa mita 2,197 na ndio linalo julikana kwa sasa kama ndio pango kubwa kupita yote duniani. 
    "" The cave, which is located in Arabika Massif of the Gagra Range in the western region of the Caucasus in South Russia. The entrance is high up at an altitude of 2,256 meters, with a very narrow entrance. Over the years, cavers have sought to completely discover all the cave’s chambers. ""

HAYA NDIYO MAGARI MATANO MAKUBWA ZAIDI DUNIANI

SUBSCRIBE KTK CHANNEL YETU HAPA

Midnight Rider

limousines
This limo is not your ordinary dude. It holds the Guinness Book of World Record for the heaviest limo ever made. It weighs 22,933 kgs and is 70-foot long and 13-foot wide. It was designed by American designers Pamela Bartholemew and Michael Machado. Midnight Rider is a good but quite strange name, but before you make up your own story behind it, you have to know that its horn plays the theme song from the film Midnight Rider, so that’s why it’s named like that.
How will you know that a celebrity is approaching during a red-carpet premiere? When a limousine’s in view. That’s how stars make an elegant entrance—stepping out from a stretch limo and getting down to a

Thursday, 23 June 2016

KAAMKA NA NYOKA KITANDANI

BONYEZA HAPA SUBSCRIBE KUONA VIDEO KALI KILA SIKU
https://www.youtube.com/watch?v=Wi8fn43BXLM
Nyoka mkubwa ambaye alikuwa akiishi katika dari ya nyumba moja nchini Australia kwa takriban miaka 10 sasa ameamua kuingia katika chumba cha kulala.
Mwenye nyumba hiyo Trina Hibberd kutoka eneo la Queenland aliamka siku ya jumatatu na kumuona nyoka huyo mwenye urefu wa mita 5.2 amejipinda katika kitanda chake.
Aliwasha taa ya chumba hicho kabla ya mtaalam wa kushika nyoka Dave Goodwin kuwasli.

Friday, 3 June 2016

AJABU LA KANISA LILILOJENGWA KWA UMBO LA KIATU HUKO TAIWAN

LIKE PAGE YETU HAPA
Kanisa la urefu wa mita 16 lililojengwa kwa kutumia vigae vya glasi linalofanana na viatu vyenye visigino virefu vinavyopendwa sana na wanawake limejengwa huko Taiwan kwa lengo la kuwavutia wanawake zaidi.
Bonyeza picha kuiona video usiache kusubscribe nami youtube
kanisaLikiwa limejengwa kwa kutumia vigae vya glasi takriban 320,kanisa hilo la rangi ya buluu lina upana wa mita 10 na limegharimu takriban dola 686,000.
Picha iliopigwa juu ya kanisa hilo pia imeonyesha ukubwa wa kanisa hilo pamoja na uzuri wa eneo lililojengwa.

Friday, 22 April 2016

JINO KUBWA LA NYANGUMI LAPATIKANA AUSTRALIA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO BOFYA HAPA
Jino
Jino kubwa la nyangumi limepatikana ufukweni Australia, na kuwa thibitisho la kwanza kwamba nyangumi wakubwa hatari sana waliishi mbali na Amerika.
Mkusanyaji wa visukuku Murray Orr alipata jino hilo lenye urefu wa sentimeta 30 (inchi 12) ufukweni Beaumaris Bay karibu na mji wa Melbourne mwezi Februari.
Alilikabidhi kwa makumbusho ya Victoria, ambayo yalianza kulionesha kwa umma Alhamisi.
Inakadiriwa kwamba nyangumi mwenye jino hilo aliishi zaidi ya miaka milioni tano iliyopita. Alitoka kwa aina

Friday, 15 April 2016

KIARABU CHA PIGWA MARUFUKI KATIKA MISIKITI NCHINI UJERUMANI

LAYIII
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE KWA HABARI MBALI MBALI
https://www.youtube.com/watch?v=_2xr9mgpj4s
Kiongozi wa chama cha Conservative cha Ujerumani Andreas Scheuer amependekeza kuwa kijerumani kitumike wakati wa salah misikitini nchini humo badala ya Kiarabu.
Mwanasiasa huyo aidha anasema kuwa ni sharti Ujerumani izuie ufadhili wa misikiti kutoka Saudi Arabia na Uturuki.
Katibu huyo mkuu wa chama hicho cha CSU ambacho ni mshirika wa chama kinachoongozwa na Kansela wa Ujerumani bi Angela Merkel cha CDU analaumu siasa za

advertise here