Tuesday 28 July 2015

BAHARI ILIYOGUNDULIWA NA WANASAYANSI KATIKA SAYARI YA MARTH YALETA KITENDAWILI KIKUBWA SANA KWA WAMAREKANI

LAYIII
WANASAYANSI wa anga kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta uwezekano wa maisha katika sayari nyingine, mbali na dunia.Kuna imani kuwa kwenye sayari hizo, huenda zikapatikana raslimali nyingi kwa urahisi kuliko duniani ambako binadamu wameishi mamilioni ya miaka hadi sasa.

Wataalamu hao wa anga wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda sasa na moja ya mambo muhimu wanayoangalia ni upatikanaji wa maji. Popote maji yanapopatikana, wanaamini maisha

HIVI NDIVYO CHADEMA ILIVYO MPOKEA LOWASSA

LAYIII

3X6A9394
July 27 2015 Mbunge James Mbatia ambaye ni mmoja ya Viongozi wa juu wa Jumuiya ya Vyama vinavyounda umoja wa UKAWA aliongea maneno haya baada ya Viongozi wote kukaa Kikao na kukubaliana >>>> “Nachukua fursa hii kumualika Mheshimiwa Lowassa ajiunge na UKAWA na tuko tayari kushirikiana nae kuiondoa CCM madarakani”— James Mbatia.

Lowassa kathibitisha kujiunga na UKAWA

LAYIII

LOWASA BREK
Ikiwa ni siku chache tangu Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa kuenguliwa jina lake katika mbio za kuwania Urais na kamati ya maadili CCM, kumekuwepo na sintofahamu juu ya hatma ya mwanasiasa huyo.
Leo Lowassa kazungumza Bahari Beach, Dar es salaam pamoja na viongozi mbalimbali wa UKAWA walikutana na waandishi wa habari na kuzungumzia hatma yake kuelekea Ikulu pamoja na upungufu uliojitokeza wakati wa uchaguzi wa kumpata mgombea Urais wa CCM.

KINGUNGE ATOA KAULI TATA YA KUSTUA JAMII BAADA YA LOWASSA KUTANGAZA KUJIUNGA NA CHADEMA LEO HII

LAYIII
 Kama Bado Hujajiunga Nami, Unaweza Kujiunga Kwa Kubonyeza Like Hapa Chini Nikutumie Habari Moja Kwa Moja

https://www.facebook.com/swaxbz1?ref=aymt_homepage_panel
Kingunge aongea kwa baada ya Lowassa kutimkiaa UKAWA,asema siwezi

advertise here