Tuesday 8 March 2016

JE WAJUA KAMA MVUMBUZI WA EMAIL KAFARIKI DUNIA

LAYIIII
BONYEZA HAPA KUONA VIDEO MTU WANGU

https://www.youtube.com/watch?v=Gpik8ecGV80

 
Mvumbuzi wa “EMAIL” afariki dunia
Mvumbuzi wa matumizi ya barua pepe kwa kiingereza kama Email RAY TOMLINSON, amefariki dunia na umri wa miaka sabini na nne.
Ray alivumbua matumizi ya barua pepe mwaka 1971 na

TAZAMA PICHA 4 ZA AJARI ILIYOTOKEA TABATA DAR ES SALAAM

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO
Moja ya taarifa iliyosambaa katika mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya habari asubuhi ya leo march 9 2016, ni pamoja na hili tukio la ajali ya magari matatu ambayo ni gari la abiria aina ya DCM, Lori la mchanga na gari lingine lililokuwa limebeba mchanga kugongana katika eneo la Tabata, Dar es salaam.
Hadi sasa hakujawa na uhakika wa taarifa za uhakika

JE UNAJUA KUWA MAALIM SEIF AMELAZWA

LAYIII
 

Maalim Seif Alazwa Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam

BONYEZA PICHA HAPO

Siku tatu baada ya kutoka India alikokwenda kwa ajili ya kupata matibabu, Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad jana alilazwa katika hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam.

Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar, Nassoro Mazrui amesema kuwa chanzo cha Maalim Seif kulazwa katika hospitali hiyo jana asubuhi ni uchovu wa safari yake ya India ambayo alienda kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji wa mgongo.

JE UNAJUA KUWA WIZKID KAITELEKEZA FAMILIA YAKE

LAYIII
 
Mke wa Wizkid, Ogudugu Shola, amefunguka na kudai kwamba mumewe huyo ambaye amezaa naye mtoto mmoja, anashindwa kuihudumia familia yake.

Mrembo huyo amedai kwamba, mapenzi ya msanii huyo na mtoto wake anayejulikana kwa jina la Boluwatife, yamekuwa tofauti na mwanzo kihuduma.

“Ukweli ni kwamba nimechoka, nimechoka, nimechoka na mambo

advertise here