Friday 11 March 2016

KENYA NDANI YA DARUBINI YA IAAF

LAYIII
 Mkutano wa kamati kuu ya shirikisho la mchezo wa riadha duniani IAAF ambayo imekuwa ikikutana mjini Monaco imetangaza kuwa Kenya na Ukraine ni miongoni mwa nchi ambazo zimewekwa katika orodha ya mataifa ambayo yanachunguzwa kwa kina na shirikisho hilo kuhusiana na matumizi ya dawa za kusisimua misuli michezoni.


Mataifa mengine ni pamoja na Ethiopia, Morocco, na Belarus
Kwenye kikao na waandishi wa habari, afisa mkuu wa shirikisho hio anayehusika na maadili amesema kuwa, mataifa hayo yamepewa muda kuunda kamati maalum, ili kudhibiti matumizi ya dawa hizo michezo.

UMEPITWA NA TAARIFA YA HABARI LEO 10/03/2016 NIMEKUSOGEZEA HABARI KUBWA HAPA

LAYIII
Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya March 11 2016 usijali www.swaxbz.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari tano kubwa kupitia TV za Tanzania.Habari kutoka Clouds TVKesi ya Tembo Yaahirishwa Mahakama ya kisutu Jijini Dar es salaam imeharisha kesi ya wachina wawili walikamatwa na Meno ya Tembo
Kama ulikosa time ya kuangalia taarifa ya Habari ya March 11 2016 usijali www.swaxbz.com inakupa fursa ya kuziangalia Habari tano kubwa kupitia TV za Tanzania.
Habari kutoka Clouds TVKesi ya Tembo Yaahirishwa

JUX NILIMPENDA JACK CLIFF LAKINI SITARUDIANA NAYE TENA

LAYIII
source na Bongoswaggz 
BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE




Msanii Jux ambaye kwa sasa yupo kimahusiano na Vanessa Mdee, amefunguka na kuweka wazi sakata ambalo lilimkuta mpenzi wake wa zamani anayefahamika kama Jackie Cliff na mahusiano yake na model huyo.

Kupitia kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV Jux alikiri wazi kuwa alikuwa akitoka kimapenzi na Jackie Cliff na kusema alikuwa anampenda sana licha ya bidada huyo kumzidi umri.

advertise here