Wednesday 16 September 2015

WAJUWE WAGENI WALIOITEKA MAREKANI

LAYIII


Rihanna.
Hans Mloli na mtandao
WAHAMIAJI wapo kila mahali duniani lakini mara kadhaa huwa ni ngumu sana kung’ara au kuonyesha kipaji chako mbele ya wenyeji na kuwafunika kirahisi.

NINAYO TAYARI ORODHA KAMILI YA WALE WOTE WANAOWANIA TUZO ZA ANNUAL BET HIP HOP AWARDS 2015!

LAYIII
Kila mwaka kituo kikubwa cha burudani Marekani BET huandaa tuzo za kipekee kabisa  ‘Annual BET Hip Hop Awards’ kwa ajili ya kuwapongeza wale wote walioweza kufanya vizuri zaidi kwa mwaka kwenye muziki wa Hip Hop.. Tuzo hizo zimerudi tena kwa mwaka wa 2015 zikiwa

GOOD NEWZ DIAMOND TUZO NYINGINE

LAYIII

Entertainment

#Goodnews Diamond Platnumz apokea ushindi wa tuzo nyingine mbili…!!

Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwa mtu wetu Diamond Platnumz kwani amekuwa wa kupokea na kutajwa kwenye tuzo nyingi sana kwa mwaka huu wa 2015 na siku chache zilizopita Diamond Platumz alitajwa kuwania tuzo nyingine tena za kimatatifa MTV EMA 2015 jijini Milan Italy.

AJIKUTA MIKONONI MWA POLICE BAADA YA KUONYESHA UBUNIFU WAKE

LAYIII
Ahmed Mohamed ni kijana wa miaka 14, alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanya ubunifu ambao yeye alidhani itakuwa ni kitu kizuri kuwafurahisha Walimu wake, lakini baada ya kuwaonesha tu ubunifu wake, ikapigwa simu Kituo cha Polisi na wakamkamata !!

TEKNOLOJIA INATUPELEKA HUKU SASAHIVI, SMARTPHONE INAJAA CHAJI KWA DAKIKA 35 MTU WANGU… (PICHAZ & VIDEO)

LAYIII
Watumiaji wa smartphones wakae tayari kuipokea hii good news mtu wangu, kuwa na smarthphone ni raha kwa sababu una uhakika wa kufanya mambo yako mengi sana kwa kupitia simu ya mkononi tu, ishu ni pale ambapo simu hizo zinamaliza chaji haraka na kujaa zinachukua muda pia

advertise here