Thursday 4 February 2016

KAMA HUJUI ANAYE FATA KATIKA YALE MAJIPU YANAYOTUMBULIWA SOMA HAPA

LAYIII

Magufuli3 (1)Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’.
Stori: Gabriel Ng’osha, Wikienda
Dar es Salaam: Who is next (nani anafuatia?) Ndivyo Wabongo wengi wanavyojiuliza kufuatia tumbutumbua majipu katika sekta za serikali inayofanywa na Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ ili kupisha mfumo mpya wenye Kauli Mbiu ya ‘Hapa Kazi Tu’.
Kwa mujibu wa baadhi ya wananchi waliozungumza na Ijumaa Wikienda kwa nyakati tofauti, wana imani na Serikali ya Awamu ya Tano ya Rais John Pombe Magufuli ‘JPM’ kuwa hatanii katika suala la tumbuatumbua ya majipu inayoendelea ambapo familia za wakurugenzi waliotumbuliwa sasa ni vilio tupu.

KUHUSU STORI YA WATANZANIA WANAWAKE WANAO PIGWA HUKO INDIA NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII
India ni moja kati ya nchi ambazo vijana wengi wa kitanzania hupendelea kupelekwa na wazazi wao kwenda kusoma, siku kadhaa nyuma ziliingia headlines kuhusu stori za kibaguzi zinazoendelea katika nchi ya India. Inaripotiwa kuwa India mtu mweusi anabaguliwa sana.
Wiki iliyopita January 31 msichana wa kitanzania mwenye umri wa miaka 21 ambaye anasoma India aliingia

HIVI NDIVYO MAGUFULI ALIVYOUANZA MWAKA MPYA

LAYIII


advertise here