Sunday 16 August 2015

BIRTHDAY YA DJ WA DIAMOND ILIKUWA POA SANA MTU WANGU

LAYIII
Screen Shot 2015-08-17 at 4.34.40 AM
Diamond Platnumz na crew yake wakati wa kuingia kwenye party
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni
Ndugu yake na msanii Diamond Platnumz lakini pia ni Official Dj wake alifanya Party yake August 16 2015 wakaalikwa mastaa wengi kutoka Bongo Movie na Bongo Fleva, kiukweli ilipendeza sana.
Diamond Platnumz ambaye ni ndugu pia ni rafiki wa karibu na Romy kwa pamoja walikutana na marafiki zao na kusheherekea party hiyo….. na kwenye list ya mastaa waliotokea walikuwepo pia Barnaba, Vee Monay, Queen Darleen, Pipi, Aunt Ezekiel, Jux, Kamikaze, Tid, Madee, Shilole, na wengine kibao
Screen Shot 2015-08-17 at 4.34.47 AM
Barnaba, Diamond na Romy kwenye pozi la picha
Screen Shot 2015-08-17 at 4.34.55 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.35.08 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.35.18 AM
Manager wa Diamond Babu Tale, Madee, na Dj K Man wakipiga story wakati wa party
Screen Shot 2015-08-17 at 4.35.40 AM
DJ Zero na Madee story zikiendelea kwenye Party
Screen Shot 2015-08-17 at 4.35.52 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.04 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.14 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.24 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.32 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.42 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.36.56 AM\ Screen Shot 2015-08-17 at 4.37.07 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.37.14 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.37.32 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.37.41 AM
Screen Shot 2015-08-17 at 4.37.51 AM
Mchekeshaji Stan Bakora na Lulu wakiwa kwenye pozi ya aina yake hii ilikuwa poa sana mtu wangu

No comments:

Post a Comment

advertise here