Wednesday 26 August 2015

MAGUFULI AZIDI KUGALAGAZA MIKOANI HUKO

LAYIII

.
.
Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea

HATIMAYE DENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015

LAYIII

Mshindi wa TMT msimu wa pili, Dennis Laswai akiruka kwa furaha mara baada ya kutajwa kuwa mshindi.

MAJIBU YA DIAMOND KWA DIVA BALAAA ETI LABDA NINGEKUWA NIMEKUKAZA HEHEHEHEH

LAYIII

DIAMOND AMCHANA DIVA BAADA YA KUMTUPIA VIJEMBE!! ADAI LABDA ANGEMKAZA ASINGEMWONGELEA

HAWAKAI ZIZI MOJA, WANAKULA NYASI ZILEZILE!

LAYIII
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Unapowazungumzia mastaa waliojizolea mashabiki wengi Bongo kupitia muziki wa Kizazi Kipya, huwezi kuacha kuwataja Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wasanii hao,

POLISI YAZUIA ZIARA ZA LOWASSA ZISIZO RASMI

LAYIII
.
.
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku wagombea wa vyama vya siasa kufanya vitendo vinavyo hatarisha usalama wa raia na mali zao kwa kufanya mikusanyiko isiyo rasmi kwenye masoko na vituo vya daladala.

advertise here