Sunday 21 February 2016

HUU NI ZAIDI YA UNYAMA MMAMA AMCHALANGA MWANAYE VIWEMBE

LAYIII
BONYEZA PICHA KUIONA VIDEO


mtoto viwembe1Majeraha aliyoyapata baada ya kujeruhiwa na viwembe.

Stori: Joseph Ngilisho, Ijumaa
Arusha: Ukatili wa watoto haukubaliki! Mama mzazi aliyetajwa kwa jina moja la Anna, mkazi wa Oysterbay maeneo ya Unga-Limited jijini hapa anadaiwa kumcharanga kwa viwembe mwanaye wa kumzaa mwenye umri wa miaka kumi anayesoma shule ya msingi (jina la mtoto na shule yanahifadhiwa).
Tukio hilo la kusikitisha lilijiri mapema wiki hii nyumbani kwa mama huyo maeneo ya Oysterbay hivyo kumlazimu Diwani wa Kata ya Themi, Melance Kinabo kushirikiana na polisi kumkamata mzazi huyo kutokana na kitendo alichomfanyia mwanaye na kumwachia majeraha makubwa.

SHILOLE ALEWESHA DOGO MAPENZI AMBEMENDA OVYO OVYO

LAYIII

IMG_9282Msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ akipozi kimahaba na Medy Music.
Stori: Musa mateja, Ijumaa:
Dar es Salaam: Baada ya msanii Zuwena Mohammed ‘Shilole’ kumwagana na aliyekuwa mpenzi wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’, hivi karibuni Ijumaa lilinyetishiwa kuwa, amejiweka kwa dogo mmoja aliyefahamika kwa jina la Medy Music ambaye wamekuwa wakipika na kupakua kwenye nyumba ya staa huyo iliyopo Kijitonyama jijini Dar.

KTK HEADLINE ZA MJINI NI WEUPE WA BINADAMU NA NGUVU YA MAJI MSIKILIZE RAY AKIZUNGUMZIA WEUPE WAKE HAPA

LAYIII
Mwigizaji wa bongomovie Ray ‘Vicent Kigosi’ ametajwa sana na headlines za Tanzania ndani ya siku 7 zilizopita kuhusu weupe wa ngozi yake na kukawa na mistari kwamba amekua akitumia mkorogo tofauti na zamani ndio maana rangi ya ngozi imebadilika, mengi ameyaongea kwenye hii video hapa chini alipohojiwa na CloudsFM Leo Tena pia kuhusu movie yake mpya ‘Tajiri Mfupi

SABABU ZA MIMBA KUHARIBIKA DAKTARI ATUPATIA SABABU

LAYIII
Moja ya stori kubwa za mastaa wiki hii ilikua ni taarifa za ujauzito wa Wema Sepetu kuharibika, tumempata Daktari ambaye yuko tayari kuelezea ni vitu gani vinaweza kusababisha ujauzito wa Mwanamke

WAYNE ROONEY AZIKATAA BILION 220 ZA WACHINA

LAYIII
Mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza na nahodha wa klabu ya Man United Wayne Rooney wiki hii aliingia kwenye headlines baada ya klabu ya wachina ya Shanghai Shenhua kuomba kumsajili kutoka klabu yake ya Man United na kwenda kuanza maisha mapya ya soka nje ya Uingereza kwa mara ya kwanza.
Klabu ya Shanghai Shenhua ambayo ilianza kuiomba Man United kumsajili Wayne Rooney kwa dau la pound milioni 27 mwishoni mwa mwaka 2015, kwa sasa inamuhitaji na ilitaka kuwa inamlipa mshahara wa

HUKO INSTAGRAM HAYA NDIYO MANENO YA WEMA SEPETU NA LULU BAADA YA UJAUZITO WA WEMA SEPETU KUHARIBIKA

LAYIII
Usiku wa February 20 2016 mwigizaji Lulu ilibidi aandike tu kwenye page yake ya Instagram kuhusu taarifa za yeye kufumaniwa na Idris Sultan ambaye siku za karibuni amekua akijulikana kama boyfriend wa Wema Sepetu.
Lulu aliandika >>> Huyo ulodai kanifumania hana hata Taarifa….guys hizo drama zenu za kwenye mitandao sio kila mtu ana entertain…..tushafanya drama sana b4 IG kwahyo Kama mnatafutaga mtu kugombana au kugombanisha watu na kila mtu MLIPO BONYEZA SASAHIVI NI RED BUTTON nyie mnafanya drama za mitandao watu tumefanya za LIVE tumechoka na tumeamua

advertise here