Thursday 2 July 2015

DIAMOND NAMBA MOJA KTK TOP TEN YA TRACE TV AFRICE

LAYIII
NANA YAMPAISHA MTU WANGU


BZMORNING TANZANIA SHUHUDIA MAGAZETI YA LEO 3/7/2015

LAYIII

.
.

MAITI YAKOHOA, YAFUMBUA MACHO

LAYIII
MAITI (1)Tunu Shabani anayedaiwa kuzinduka baada ya kufariki dunia, akiweweseka.
Maajabu ya Bagamoyo! Katika hali ya kushtua, familia yenye makazi yake, Magomeni, Bagamoyo mkoani Pwani, imejikuta kwenye mauzauza baada ya ndugu yao kufariki dunia huku akidaiwa kukohoa, kufumbua macho na kuonesha dalili za kuwa hai, pamoja na kwamba daktari alithibitisha kifo.

MTAZAMO WA YEMI ALADE KUHUSU WASANII WA MZIKI KUPEANASUPPORT UTACHEKA UPASUKE

LAYIII

blackup-for-Yemi-Alade-Look-1
Yemi Alade ni msanii maarufu kutoka Nigeria ambaye alitamba sana na ngoma yake Johnny. Nimekutana na interview moja aliofanya msanii huyu jijini Lagos, aliulizwa maswali mengi lakini moja kubwa lilikuwa linahusu hali ya wasanii kupeana support kwenye muziki.
iiihib
Yemi Alade alikuwa na haya ya kusema.
>>> “siwezi kuzungumza kwa niaba ya kila mtu so nitaongea kulingana na mtazamo wangu, kwa mimi binafsi nahisi kwenye industry wanaume wanapeana support zaidi kuliko wanawake, sijui kwa nini ila naona hii ndio hali halisi kwa hapa kwetu.” 

ETI TAIFA STAR HAWAJUI KIINGELEZA SI JAMAA KANYOOSHA MKONO HAHAHA MSIKIE MWENYEWE

LAYIIII
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’  kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa MSIKIE MWENYEWE HAPA MTU WANGU kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  Mart Nooi.

Eti wachezaji wa Taifa Stars walikuwa hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro kanyoosha mkono

.
.

UJUE USHINDI WA RAIS KENYATA KWA MARA NYINGINE MTU WANGU

LAYIII
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.

Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..

enjoy
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.

MCHEKI WANAFUNZI ALIYE INGIA KATIKA JENEZA KUSUPRISE JAMAA ZAKEKTK GRADUATION YAKE

LAYIII
Niliwahi kukuletea stori ya bibi harusi kuamua kufanya surprise kwa mume wake pamoja na wageni waalikwa siku ya harusi, akajipanga na kuingia zake Ukumbini akiwa ndani ya jeneza.. lengo lake ilikuwa afanye tu kitu tofauti na kuvunja rekodi yake mwenyewe.
cof


Mwanafunzi kaona aingie na jeneza k

MCHEKI MESSI ALIVO WATOKA MABEKI KATIKA KIPANDE HIKI CHA VIDEO

LAYIII
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.

Kama unaamini ukali wa Lionel Messi, cheki hapa ‘alivyowatoka’ mabeki wawili wakaangukiana.. (Video)

lionel-messi-world-player-soccer-lionel-messi-feature4 (1)
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Lionel
Japo Cristiano Ronaldo anatajwa kuwa ndio mchezaji wa soka mkali kabisa Duniani na ana Tuzo yake ya Ballon d’Or kwa mara tatu mfululizo, wapo wanaoamini Lionel Messi ndio mkali zaidi !!
Nina hivi vipisi vya video vinavyoonesha ukali mwingine wa Lionel Messi akiwa Uwanjani, play uone wachezaji wawili walivyoachwa kwenye mataa mtu wangu!!
Video Player

Video Player

 

FROM JELA HADI MTAANI MCHEKI RICK ROSS HAPA AKITOKA JELA

LAYIII
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.

Rick-Ross-court
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.
July 01 2015 kapandishwa Mahakamani, Georgia Marekani.. Kesi ikasomwa na milango

NIMEKUWEKEA VIDEO YA MGOGORO WA BUNGENI LEO HAPA CHINI

LAYIII

Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015

Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo.
Tumekabidhiwa orodha ya shughuli za leo.. kimsingi imekiuka kanuni, uamuzi wa kuileta hii miswada mitatu kwa pamoja kama hati ya dharura umekiuka kabisa msingi wa makubaliano ya kwenye Semina ambapo Wabunge kwa kauli moja tulikataa Miswada hii isiletwe kwa hati ya dharura
Mbunge John Mnyika.
Naomba Mwongozo, hili jambo linahitaji majibu sasa” >>> Mbunge John Mnyika.
Spika Makinda akaanza kutoa ufafanuzi kuhusu hiyo ishu >>> “Toa kwanza maneno ya kuniamrisha mimi cha kufanya… Hakuna mtu anayeweza kuniamrisha” >>> Anne Makinda.

 



JANUARY MAKAMBA KAJIBU HAYA KUHUSU WIZI WA MUDA WA HEWANI

LAYIIII
Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, hii ishu imewagusa Wabunge… Alianza Mbunge kwa kuuliza swali kwamba nini kinafanyika kuzuia wizi wa aina hiyo.
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba wanapoteza pesa kujiunga na vifurushi ama wanaponunua vocha… Serikali itachukua hatua gani kudhibiti Makampuni ya simu ambayo yanafanya wizi kwa wananchi” >>> Mbunge Murtaza Mangungu.
Kumekuwa na udhaifu mkubwa kwa upande wa TCRA kwenye kufuatilia malalamiko ya watu pale ambapo wanadhurumiwa, watu wanatoa malalamiko kwa Makampuni ya simu lakini hakuna  hatua zinazochukuliwa” >> January Makamba.
unnamed (2)
Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
Serikali imetoa onyo kwa TCRA kwamba tunataka hatua zianze kuchukuliwa na namna mpya ikiwemo kuhakikisha kwamba kuna kituo ambacho kipo saa zote kwa ajili ya kupokea simu na malalamiko ya watu na ni rahisi kituo hicho kufikika na watu wanahakikishiwa majibu, malalamiko yasiposhughulikiwa ndani ya saa 48 hatua za Kisheria zinachukuliwa kwa makampuni ya simu” >>> Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.

ICHEKI VIDEO YA BIG SEAN NA STYLE YAKE MPYA HAPA MTU WANGU

LAYIII


Big Sean amekuja na style tofauti kwenye video yake mpya: FOCUS (Vlog)!

NIMEKUWEKEA KIPANDE CHA VIDEO MPYA YA RAY J NA LIL WYNE HAPA

LAYIII


Baada ya kimya kingi Ray J arudi na video mpya Brown Sugar , pembeni Lil Wayne!

DAVIDO KAPOST PICHA ZAKE AKIWA NA DIAMOND MTV BASE KTK PAGE YAKE YA INSTOGRAM.....ONA COMMENT ZAKE MTUWANGU

LAYIII
Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..

Davido amepost picha yake na Diamond, kaandika na haya maneno kuhusu #MTVMAMA2015..

Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..
PERFORMING AGAIN LIKE THIS AT ‪#‎MTVMAMA2015‬ !! TOO MUCH BLESSINGS…” >>> @IamDavido
11694958_403436209857010_4888931845749158669_n

 



Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2

layiii
MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.
Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa hisia, alisema hayo jana mara baada ya kurejesha fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2

HM
MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.

MAJIBU YA LOWASA KUHUSU KUITWA FISADI NIMEKUWEKEA AUDIO HAPA

LAYIII
Kwenye headlines kubwa Magazetini kuna hizi stori ambazo nimekusogezea baada ya kuchambuliwa redioni June 02 2015.
Makada wa CCM wameendelea kurudisha fomu za Urais na leo ndio siku ya mwisho, Lowassa amesema amechoshwa na wanaomwita Fisadi.. kingine ni kuhusu ishu ya ushirikina Wilaya ya Mwibala, mtu mmoja ameuawa akituhumiwa kuwafanyia ushirikina  Walimu.

Wanaomwita Lowassa fisadi? mwisho wa kurudisha fomu CCM? Matokeo ya Mitihani TZ kwa simu?.. #PBCloudsFM

BZMORNING KUTANA NA MAGAZETI YA LEO TAREHE 2/7/2015

layiii
.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

advertise here