Thursday 2 July 2015

UJUE USHINDI WA RAIS KENYATA KWA MARA NYINGINE MTU WANGU

LAYIII
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.

Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..

enjoy
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.

Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.
ushund
Rais Kenyatta akikakabidhiwa hati ya Ushindi na Wawakilishi wa Wanafunzi hao.
Kenyatta alichaguliwa na maelfu ya wanafunzi kutoka Vyuo mbalimbali Afrika ambao walishiriki kwenye zoezi la kupiga kura.
Kenyatta alichaguliwa kwa uwezo wake wa kujenga makubaliano kitaifa na kimataifa na juhudi zake za kubadilisha sera na kutoa ufumbuzi katika masuala yanayohusu nchi ya Kenya.

 


No comments:

Post a Comment

advertise here