Saturday 12 March 2016

MBADALA WA DK SLAA CHADEMA HUYU HAPA

LAYIII
Usiku wa March 12 2016, Chadema imeweka kumbukumbu mpya ya kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji anayechukua nafasi ya Dk. Wilbroad Slaa, kwenye kikao cha Baraza kuu la Chadema nimekusogezea sentensi zake na picha baada ya kuupata Ukatibu Mkuu.
BONYEZA PICHA KUSHUDIA VIDEO YA SHANGWE ZA CHADEMA
Usiku wa March 12 2016, Chadema imeweka kumbukumbu mpya ya kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Dk. Vicent Mashinji anayechukua nafasi ya Dk. Wilbroad Slaa, kwenye kikao cha Baraza kuu la Chadema nimekusogezea sentensi zake na picha baada ya kuupata Ukatibu Mkuu.
Image00002
Wajumbe wa Baraza kuu Chadema wa pili kulia ni Tundu Lissu.

BARAZA KUU LA CHADEMA PICHA NANE ZA MWANZO MTU WANGU

LAYIII
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama, hapa nimezipata picha za mwanzo kwenye tukio.
kila picha ikiibonyeza iko na link ya tukio BONYEZA PICHA YOYOTE HAPO KWENDA KWENYE TUKIO HALISI
Leo march 12 2016 Baraza kuu la Chadema linafanya mkutano wa kumpata Katibu Mkuu wa Chadema Mwanza kwenye vikao vya ndani pamoja na kujadili masuala ya Chama,

PITIA VICHWA VYA HABARI VYA MAGAZETI YA LEO March 12 2016

LAYIII
March 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook@swaxbz, twitter@swaxbz na instagram@emmanuely_1 ili niwe nakutumia kila
March 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu

SCANIA ILIVYO WAKA MOTO MAENEO YA KASESYA/ KASANGA HUKO SUMBAWANGA

LAYIII
Katika hali ya kustukiza eneo la makutano filling station kasesya/kasanga road manispaa ya sumbawanga kumetokea mlipuko wa gali kubwa aina ya scania. kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari ni kwamba utingo wa scania ulipokwenda kurekebishwa ndipo moto ulipotokea kuanzia kwenye betrii
tizama na ubonyeze picha kuitazama video ya tukio nzima mtu wangu




https://www.youtube.com/watch?v=9sM6NHl7Xzw

advertise here