Tuesday 24 May 2016

CHINA HATUUZI NYAMA ZA BINADAMU AFRIKA

LIKE PAGE YETU HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=7lS96yn7FwcWizara ya maswala ya kigeni nchini China imekana ripoti kwamba kampuni za chakula nchini humo zinaweka nyama ya binaadamu na kuuza barani Afrika kama nyama ya ng’ombe.

Chombo cha habari nchini humo Xhinua kimesema kuwa jarida moja nchini Zambia lilimnukuu kimakosa mwanamke mmoja ambaye hakutajwa anayeishi China.

Alisema kuwa kampuni za China zilikuwa zikichukua miili ya wafu kuitia katika viungo na kuiweka katika mikebe.
Msemaji wa China Hong Lei amesema kuwa ripoti hizo hazina uwajibikaji.

Balozi wa China nchini Zambia,Yang Youming ,amesema kuwa ripoti hizo zililenga kuharibu

WAZIRI MKUU MSTAAFU AKIWA KATIKA KIBANDA CHA MPESA AKISUBIRI MUHAMALA WAKE




Waziri Mkuu mstaafu Mhe.Mizengo Pinda akiwa kibanda cha MPESA akisubiri kupokea malipo ya muamala wake. Hii ni mara ya kwanza kwa mtu aliyepata kuwa kiongozi mkubwa serikalini kuonekana hadharani akitumia huduma ya kutoa fedha kwa njia ya simu. Kwangu naona ni mfano bora kwa viongozi, kuishi REAL. 

ALI KIBA NA KAMPUNI YA SONY .VIJUWE VIJEMBE JUU YAKE VINAVYOENDELEA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK HAPA
bonyeza hapa kuiona interview ya king kiba hapa
https://citizentv.co.ke/wp-content/uploads/2015/07/Ali-Kiba.jpgMuziki wa kizazi kipya nchini Tanzania unazidi kupata nafasi ya kuwa muziki mkubwa duniani.Hii ni baada ya msanii Ali Kiba kusaini mkataba na kampuni ya Sony , kampuni inayojihusisha na kazi ya kusimamia wasanii.Baadhi ya wasanii wengine wakubwa wa kimataifa waliosimamiwa na Sony ni

advertise here