Monday 21 November 2016

PICHA:RASTA ALIYEFUNGA NDOA NA LADY JAYDEE

BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO
Huenda Lady Jaydee akawa amepata mwanaume wa kumkabidhi moyo wake. Tangu aachane na mume wake, Gardiner G Habash, muimbaji huyo mkongwe hajawahi kuonekana na mwanaume aliyehisiwa kuwa ni mpenzi wake. Na sasa kwa picha alizoweka Instagram, uwezekano wa kuwa amerejea kupenda tena ukawa ni mkubwa.

TAARIFA:RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE NA UJUMBE WAKE HAWAKUZUIWA KUSAFIRI UWANJA WA NDEGE DAR ES SALAAM

BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO AKIWA DUBAI LIKE COMMENT VIDEO YA JUX NA VANESSA MDEE BOFYA PICHA HAPO CHINI
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’

Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu

advertise here