Saturday 18 February 2017

ZIJUE NCHI TANO DUNIANI AMBAZO BAADHI YA RAIA WAKE HAWAAMINI UWEPO WA MUNGU KABISA



Utafiti Unaonesha kwamba 63% ya watu duniani wanaamini uwepo wa Mungu, yafuatayo ni Mataifa 5 yanayoongoza kwa idadi kubwa ya watu wasiyoamini uwepo wa Mungu (Atheism).

1. China. 
Ikiwa na wapagani asilimia 30%, huku asilimia 47% ya watu hawaamini kabisa kama Mungu yupo.

2. Japan.
Ikiwa na asilimia 31% ya wapagani, huku asalimia 31% ya wajapani hawaamini kabisa kama Mungu
yupo.

3. Czech Republic. 
Ikiwa na 48% ya wapagani, huku asilimia 30% ya wananchi wanasema kwamba Mungu hayupo.

4. France. 
Asimilia 29% ya wafaransa hawaamini kabisa kama Mungu yupo.

5. Korea Rep (South).
Ikiwa asamilia 15% watu wasioamini kwamba Mungu yupo.

No comments:

Post a Comment

advertise here