Showing posts with label Biashara. Show all posts
Showing posts with label Biashara. Show all posts

Saturday, 3 June 2017

MBINU ZA KUPATA MTAJI WA BIASHARA

Watu wengi wanatamani kumiliki biashara siku moja na huenda wana mipango mizuri juu ya bishara zao. Mipango hii inaweza ikawa vichwani tu au mingine katika maadishi lakini inapofika wakati wa utekelezaji wa mipango hii ukosefu wa mtaji wa biashara hiyo ni kipingamizi kwa wengi.

Lakini kuna jinsi kadhaa ambazo zinaweza kusaidia upatikanaji wa mitaji kwajili ya biashara.

 Aina Za Mitaji
Kuna aina mbili ya mitaji kwaajili ya biashara au uwekezaji wa aina yoyote.

Wednesday, 15 March 2017

ZIMEBAKI SIKU 5 MSHINDI KUTANGAZWA, JISAJILI SASA NAFASI NI YAKO USIFE MOYO



Umeshawahi Kufikiria Kupata Gari la Bure bila Kulipa Chochote, Basi hii Kampuni ya Cars From Japan Wanakupa Nafasi Hiyo na ww miliki Gari bure.

Chakufanya ni Kubofya Link hapo chini na Ufate Maelekezo ya Jinsi ya Kuweza Kuwa Mshindi wa Gari hilo, Nirahisi sana wala usihofu

Tuesday, 14 February 2017

AMUUA MFANYAKAZI WA SHAMBA AKIZANI NI MNYAMA NGIRI



Watu nchini Afrika Kusini wamegadhabishwa, kufuatia taarifa za mwanamme mmoja, ambaye analaumiwa kwa kumuua kwa kumpiga risasi mfanyakazi wa shamba, akidhani kuwa mtu huyo ni ngiri.

Stephen Hepburn alifikishwa mahakamani ili kujibu mashtaka ya mauaji.

Yeye na mwenzake wa kike walikuwa wakiwawinda ngiri kwenye shamba moja lililo mkoa wa Limpopo kaskazini siku ya Jumamosi, wakati Jan Railo ambaye alikuwa na umri wa miaka 23 aliuawa.

Sunday, 12 February 2017

KWA NJIA HIZI PESA HAZITAKUKWEPA KAMWE

IDEA ya Biashara ni moja ya mambo yanayo waumiza watu wengi sana, Na mara nyingi wazo la biashara linahitaji utafiti wa kina ili kuja na wazo lenye tija kwako na kwa jamii nzima

Wednesday, 2 November 2016

AINA TATU YA MAWAZO YANAYOZUIA USHINDWE KUFANIKIWAA

Kiasili binadamu tumepewa uwezo mkubwa wa kufikiri ukitofautisha na wanyama wengine. Uwezo huu tulionao huwa unakuja hasa kutokana na matumizi ya mawazo au kufikiri kwetu. Kufikiri huko ambapo tunafanya kila siku na kila wakati ndipo kunapotufanya tuwe na maisha ya aina fulani, haijalishi yawe ya mafanikio au kushindwa.

Lakini hata hivyo wengi wetu huwa tunafikiri au tuna mawazo ya kimazoea na kushindwa kutambua kwamba hayo mawazo yetu pia yamegawanyika. Kwa mawazo yoyote uliyonayo mara huwa yamegawanyika katika sehemu. Kwa mfano unapowaza wazo fulani, wazo hilo linakuwa lipo moja

KAZI: MAMBO YA MSINGI KUZINGATIA KABLA YA KUACHA KAZI

Leo hii karibu kila mtu aliyeajiriwa ukimuuliza je, unafurahia maisha ya kuajiriwa? Atakwambia hapana ila natamani kujiajiri, na endapo utaendelea kumuuliza ni kwa nini unatamani kujiajiri? Utamsikia anasema nataka kuwa huru na muda na pia nahitaji uhuru wa kipesa.

Majibu hayo kwa mtazamo wa wengi ni sawa, ila kuna kitu ambacho ni vyema ukakijua kabla ya kuamua kuacha kazi na kwenda kujiajiri.

Kujiajiri kuna hitaji ujasiri wa hali ya juu sana maana kuna changamoto zaidi ya kuajiriwa. Hivyo nakusihi  ufikirie kwa umakini sana suala zima la kuacha kazi kabla kwenda kujiajiri.

Na endapo utaamua kuacha kazi ya kuajiriwa bila ya kufikiria ipo siku utakuja kujutia uamuzi wako. Hivyo ni vyema ukafikiria mara mbili kabla ya kufanya maamuzi magumu.

Mambo ya msingi ya kuzingatia kabla ya kuacha kazi.

1. Kuwa na nidhamu ya muda.
Kwa kuwa kwa sasa bado umeajiriwa, hivyo huna jukumu la kufanya maamuzi ya matumizi ya muda, Bali unafanya kazi kutokana na muda ambao muajiri wako ameamua yeye kukupangia kuweza kufanya kazi.

Na kwa kuwa umezoea kufanya kazi kutokana na amri ya mwajiri wako, hata pale ambapo utaamua kuacha kazi fahamu fika ya kwamba suala la kuwa na nidhamu ya muda kwako ni suala gumu, hivyo unatakiwa kufanya jitihada zako binafsi kadri iwezekanavyo hasa katika matumizi sahihi ya kufanya kazi hasa suala zima la uzalishaji wa mali au huduma.

Nazungumza suala zima la matumizi ya muda kwani hapa ndipo ambapo tunapata makundi mawili ya watu waliofanikiwa na wasiofanikiwa. Hivyo ni jambo jema kuhakikisha unazingatia matumizi sahihi ya muda ili pindi utakapoacha kazi wewe ndiye ambaye utakuwa na jukumu la kupanga muda wa kufanya kazi na ni muda gani utakuwa ni wa kupumzika. Pia ikiwezekana ongeza matumizi sahihi ya muda mara mbili zaidi ya ulivyokuwa umeajiriwa.

2. Kutokuahirisha kufanya mambo ya msingi.
Utakuwa shahidi ya kwamba wakati umeajiriwa suala zima la uahirishaji wa kufanya mambo ya msingi lilikuwa ni suala gumu sana labda awe ameamua mwajiri wako. Kama ndivyo hivyo basi pale ambapo utakuwa umeamua mwenyewe kuacha kazi na kuamua kufanya kazi mwenyewe hivyo huna budi kuhakikisha ya kwamba suala zima la uhairishaji mambo linakuwa ni suala ambalo halina nafasi katika maisha yako.

Ukiwa ni mtu wa kufanya kazi kwa kuamua kutenda bila kuahiirisha vitu vya msingi ama hakika utafika kilele cha mafanikio yako ndani ya muda mfupi. Ni vyema kulizingatia hili, kwani hili ndilo ambalo limewafanya watu wengi ambao waliacha kazi kuwa na maisha duni zaidi, kwani wengi wao walikuwa ni waahirishaji wazuri wa vitu vya msingi

Thursday, 18 August 2016

ADVERVISE/ USHAURI JINSI YA KUJUA BIASHARA INAYOLIPA ENEO ULIPO.

Leo tutashauriana changamoto ya jinsi ya kujua biashara inayolipa kwenye eneo unaloishi. Moja ya changamoto kubwa ambayo watu wengi wanakutana nayo ni kushindwa kujua biashara gani wafanye kwenye maeneo yao ili kuweza kupata faida.

 Mara nyingi watu wamekuwa wakiomba ushauri sehemu mbalimbali ikiwemo kwenye mitandao kuhusu biashara gani wafanye kwenye maeneo yao.

Leo nitakushauri biashara unayoweza kufanya kwenye eneo lolote unaloishi na kupata faida kubwa sana.

Sunday, 12 June 2016

BILL GATE KUWASAIDIA WAAFRIKA WAFUGA KUKU

SUBSCRIBE HAPA
Bonyeza picha hii kujua kama simu yako itafungwa
https://www.youtube.com/watch?v=Kd0A5iAeHDg
Mwanzilishi wa kampuni ya Microsoft Bill Gates, amezindua kampeni ya kusaidia watu maskini zaidi barani Afrika, kusini mwa jangwa la sahara, kwa kufuga kuku
Bilionea huyo Bill Gates anasema kuwa kufuga kuku kunaweza kuwa kifaa muhimu katika kukabiliana na ufukara hohe hahe.
Ameahidi kutoa kuku 100,000, na ukurasa katika mtandao wa mradi huo tayari umewavutia na kusambazwa kwa maelfu ya watu.

Thursday, 19 May 2016

ALIKIBA NA DEAL LA SONY MAKOSA YANAYOJIRUDIA

LIKE PAGE YETU FACEBOOK BOFYA HAPA
https://youtu.be/JybGIaVor0MHuko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

Sunday, 8 May 2016

MATAJIRI TANZANIA TUMBO JOTO, WALIO FICHA SUKARI WAUKWA... IJUE KAULI YA RAIS KWA MATAJIRI WAHUJUMU UCHUMI

FACEBOOK
https://www.youtube.com/watch?v=cQFl2V9IFUA
 Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa inafanya uchunguzi dhidi ya tuhuma zinazowahusu  wafanyabiashara wa sukari nchini kwa kuficha bidhaa hiyo ili  kusababisha upungufu katika soko na hivyo kuleta usumbufu kwa jamii ya watanzania wanaohitaji bidhaa hiyo kwa matumizi jambo ambalo limesababisha kupanda kwa bei hadi kufikia shilingi elfu nne kwa kilo moja ya sukari.

Friday, 6 May 2016

JINSI YA KUPATA MTAJI WA BIASHARA

like page yetu facebook hapa SWAXBZ ili usipitwe na kila story inayotufikia


Karibu tena kwenye kipengele hiki cha ushauri ambapo tunajadili changamoto mbalimbali zinazotuzuia kufikia mafanikio makubwa kwenye maisha.

Leo tutajadili changamoto ya ukosekanaji wa mitaji na jinsi ya kuipata. Kabla hatujaanza kujadili changamoto hii naomba niweke maoni ya wasomaji waliotuandikia kuhusu hili;

Mimi ni graduate wa diploma ya uhandisi magari, kila nikifikiria kuanza kuijajiri nashindwa kutokana na kipato cha kuanzia biashara.. je nifanyeje niweze kupata kipato cha kujiajiri?

Wednesday, 27 April 2016

TENGENEZA PESA MTANDAONI NA IQ OPTIONS NAFASI YAKO SASA SIMU YAKO TU INATOSHA KUFANIKISHA YOTE HAYO

LAYIII
BONYEZA PICHAA HII KUJARIBU BAHATI YAKO
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4M3Dg0EerFqwDK9i9LhBQ6STPHsBrNKfqrM85K2VB1FS4oPzkvTGCr712pIcdqXxejeSsquXaDbJjoBenUZuRYZrccUtez58SKfxu336sqkSIk4Blvpv7wXQOVlYUeFKAkvSjos5FdkU/?imgmax=800
Unachotakiwa kufanya ni kubonyeza ndani ya sekunde 60 tu utakuwa umetengeneza zaidi ya 85% faida
kadilia ni mwelekeo upi bei itaelekea kama itapanda au itashuka kisha utatengeneza zaidi ya 85% kama utaweza kufauru kukadilia

JISAJIRI HAPA KWA MAJARIBIO

Friday, 22 April 2016

HISTORIA YA PESA ZA SARAFU TANZANIA

LAYIII
Kabla ya mwaka 1884, nchi yetu ilikuwa inatumia sarafu moja ya Riyal iliyokuwa imetolewa na Sultan wa Zanzibar chini ya Sultani wa Oman. Sarafu za Riyal zilikuwa kama ifuatavyo
Riyal




 Baada ya 1884, Zanzibar ilitumia sarafu za aina tatu kwa mpigo. Sarafu ya kwanza ilijulikana kama Maria Theresa Thaler iliyotolewa Italy, ilikuwa na sura ifuatayo.

FURSA 150 ZA BIASHARA NA MIRADI MBALIMBALI NCHINI TANZANIA

LAYIII
 
1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha.
2. Kununua Mashine za kukata vyuma na kuzikodisha.
3. Kutengeneza na kuuza tofali
4. Ufundi, Website updating/Database: Katika Halmashauri, Manispaa, Mashule, Wizara, Wilaya na Makampuni mbalimbali.
5.  Kuanzisha kituo cha redio na televisheni

SABABU SITA ZINAZOPELEKEA KUMPOTEZA MTEJA KATIKA BIASHARA YAKO

LAYIII

Muda mwingine unaweza ukajiuliza kwa nini mteja au wateja Fulani siku hizi huwaoni katika biashara yako, unaanza kumtafuta mchawi ni nani katika biashara yako kumbe mchawi ni wewe mwenyewe ambaye unaweza ukawavuta wateja wengi au mteja au ukaongeza mteja ,wateja katika biashara yako hii inatokana tu na jinsi gani unatoa huduma yako na kumhudumia mteja pia.
Leo tutaangalia ni sababu gani ambazo zinaweza kusababisha kumpoteza au kumkera mteja wako nazo ni;

MAAMUZI KAMA HAYA YATAKUFANYA UFANIKISHE NDOTO ZAKO

LAYIII

Habari za siku rafiki na mpenzi msomaji wa DIRA YA MAFANIKIO, bila shaka umzima wa afya na unaendelea vyema kujifunza ili kuboresha maisha yako. Leo katika makala yetu napenda kukushirikisha namna unavyoweza kuipata nguvu kubwa ya mafanikio utakayoweza kuitumia kuweza kutimiza malengo yako makubwa.

KWA TABIA HIZI MAFANIKIO KWAKO NI NDOTO

LAYIII

Hasira za mafanikio zinatofautiana baina ya mtu mmoja na mwingine. Kama kweli unahitaji mafanikio ya kweli ni lazima uwe na hasira ya njaa kama aliyonayo simba. Miongoni mwetu ni watu wachache sana wanatambua hasira hii ya mafanikio, wengi wetu huchukulia mafanikio kwa sura ya kawaida sana na mwisho wa siku tunaishia kuwa maskini.

HISTORIA YA PESA ZA NOTI TANZANIA

LAYIII
Kwa muda mrefu fedha zilizotumia katika nchi hii zilikuwa ni sarafu. Noti za karatsi zilianza kutumiaka mwaka 1905 wakati wa utawala wa mjerumani kwa upande wa bara. Noti hizo zilitolweka katika thamani ya Rupie 5, 10, 50, 100 na rupie 500 kama ionekanavyo hapa chini. Noti za rupie 500 zilikuwa chache sana na sikufanikiwa kupata picha yake

HATUA 26 ZA KUANZISHA BIASHARA NDOGO NDOGO

LAYIII

Zifuatazo ni hatua 26 za kufuata katika kuanzisha biashara ndogondogo ambazo zitakuwezesha wewe kuanzisha biashara yeyote kwa uraisi zaidi.

Hatua ya kwanza ikiwa imebeba hatua zote kwani biashara inahitaji utayari (kuamua) zaidi ya vitu vingine kama mtaji nk

advertise here