Sunday 19 July 2015

SIKILIZA ALIKIBA ALIVOONGELEA COLLABLE NA DIAMOND PLATNUMZ

LAYIII


INASIKITISHA SANA MWANAMKE AJIFUNGUA TEMBO BAADA YA KUBEBA MIMBA MIEZI KUMI NA TATU (13)

LAYIII
MAAJABU YA, Mwanamke mmoja nchini Indonesia amejifunngua TEMBO badala ya mtoto katika ujauzito aliodumu nao zaid ya miezi 13 bila madaktari kugundua kilichopo ndani, play video ujioneee

RED CARPET PLATNUMZ MWANZO MWISHO HADI TUZO YA BEST LIVE P.......

LAYIII


ULIMISS KUONA MAPOKEZI YA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA KUSHINDA TUZO ZA MTVMAMA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII

Screen Shot 2015-07-19 at 8.35.00 PM
Diamond Platnumz jana katangazwa Mshindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act, hajachelewa kurudisha Tuzo home.. tayari kaingia Dar es Salaam na hata kabla hajafika Uwanja wa Ndege kulikuwa na Kundi kubwa la watu waliofurika

MATOKEO YA AZAM FC .........KOMBE LA KAGAME HAPA

LAYIII

azaaa
Klabu ya Azam imeanza vyema michuano ya kombe la Kagame inayoendelea kwenye uwanja wa Taifa, Dar es salaam baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao

ONA VIDEO ALIYO POST DIAMOND HAPA IKIMONYESHA KIDOTI AKICHEZA NA MANENO ALIYO AMBATANISHA

LAYIII

photo-collage
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @  
BAADAYE NAYE JOKATE KATUPIA LAKE HAPA MTU WANGU


NIMEKUSOGEZEA KIONJO CHA SHOW YA DIAMOND HUKO MTV

LAYIII



UVUMI WA LOWASA KUHAMIA CHADEMA NA MAGAZETI YA LEO 19/07/2015

LAYIII
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.
Uamuzi wa Lembeli umekuja wakati wanachama kutoka sehemu mbalimbali wakitangaza uamuzi wao wa kujiengua CCM na kujiunga na vyama vya upinzani, hasa Chadema ambayo imesomba asilimia kubwa ya wahamaji hao.

LEMBELI kuihama CCM?, Mafuriko ya LOWASSA CHADEMA na Mwinyi avunja ukimya…#MAGAZETINI JULY19

LATE
MWANANCHI
Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho.

SIKILIZA MAJIBU YA BENK KUU YA TANZANIA KUHUSU UWEPO WA SARAFU YA TSH 500

LAYIII
Kwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

BOTKwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania.

advertise here