Tuesday 14 July 2015

YONA HEADLINE ZA MAGAZETI YA LEO

SWAXBZ

DSC00608
Good morning mtu wa nguvu.. SWAXBZ.COM huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi.
Ninayo tayari hii post ya Magazeti 17 ya Tanzania leo July 15 2015, story zote kubwakubwa >>> Udaku, Hardnews na Michezo <<< zote ninazo hapa.

CHEKI MAPOKEZI YA YA MAGUFULI MTUWA NGU UTAPENDA

LAYIII
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.50 PM
Jina la Waziri Wa Ujenzi Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli lilipata Headlines zenye uzito zaidi baada ya Chama Cha Mapinduzi CCM kumtangaza kwamba ndiye Mgombea Urais aliyepitishwa na Chama hicho kwenye Uchaguzi unaofanyika October 2015.
Screen Shot 2015-07-14 at 4.35.26 PM
Yeye pamoja na Mgombea mwenza, Samia Suluhu Hassan tayari wamefika Dar es Salaam na leo July 14 2015 ilikuwa siku rasmi ambayo ilitangazwa kwa ajili ya kuwatambulisha Wagom

PESA SI FURAHA ....FURAHA UWE NA KITU CHA ZIADA MAJIBU YA BILIONEA WA FACEBOOK HAPA

LAYIII
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

Zuckernberg
Hakuna mtu hapendi kuwa na furaha mtu wangu, wapo wanaodhani kuwa ili uwe na furaha ni lazima uwe na pesa..  Mark Zuckerberg ni Mwanzilishi na Boss wa Facebook, yeye amesema kitu ambacho kinampa furaha mbali ya kuwa jamaa ni mtu na pesa zake nyingi tu.

HATA UWE NA ULINZI KIASI GANI MWIZI MJANJA TU CHEKI ALIKOPITIA MUUZA UNGA

LAYIII

Federal police patrol near the Altiplano maximum security prison in Almoloya, Toluca, Mexico, early Sunday, July 12, 2015. Mexico's most powerful drug lord, Joaquin "El Chapo" Guzman, escaped on Saturday night from a maximum security prison through a tunnel that opened into the shower area of his cell, the country's top security official announced. (AP Photo/Marco Ugarte)
Joaquin “El Chapo” Guzman ndio jina la mfanyabiashara wa Mexico ambalo limechukua headlines kubwa kwa siku kama tatu hivi mfululizo, jamaa ni mfanyabiashara mkubwa wa dawa Kulevya, kile kitendo cha kutoroka kwenye Gereza lenye ulinzi mkubwa kimefanya kila mtu ashtuke

advertise here