Friday 14 April 2017

CUF YA LIPUMBA YAAPA KUMCHANACHANA MAALIM SEIF..!!!


KURUGENZI ya Ulinzi ya Chama cha Wananchi (CUF) upande wa Mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof Ibrahim Lipumba

Imedai itazuia ziara za Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad, ambazo amepanga kufanya Dar es Salaam, ikiwa hataishirikisha kurugenzi  hiyo kwa ajili ya ulinzi.

ZARI ARUSHA DONGO GIZANI..!!!





Zari awatupia dongo wabaya wake, akiwananga vimada wa mzazi mwenzie, diamond platnums na kuwaambia its familia time hivyo hawana nafasi kwa sasa

advertise here