Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni, na Michezo, Prof. Harrison Mwakyembe amesema kuwa anamshangaa Mbunge wa Jimbo la Chemba Mkoani Dodoma, Juma Nkamia kuhoji uwepo wake katika mkutano wa mwanamuziki wa bongofleva ‘Roma’ na waandishi wa habari uliofanyika juzi Jijini Dar es salaam.
BONYEZA PICHA HII HAPO KUJIUNGA NAMI HABARI KWA NJIA YA VIDEO YOUTUBE LIKE NA SUBSCRIBE USIPITWE NA HABARI ZETU
Yanayoendelea dhidi ya Yusuf Manji yanashabikiwa na baadhi yetu kwa sababu wanadhani hayatawafika. Tabia ya kukomoa mtu ni tabia mbaya na ina madhara makubwa katika nchi. Ni dhahiri kuwa Manji sasa anaonewa na kudhalilishwa ili kumkomoa kwa sababu ambazo watawala wanazijua wenyewe.
SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema ipo tayari kuhakiki
mali za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, endapo watapokea
malalamiko kutoka kwa wanaomtilia shaka.
Hivi karibuni wakati akitangaza orodha ya watu wanaotuhumiwa kuuza,
kuagiza na kutumia dawa za kulevya, Makonda alijikuta akiingia katika
vita ya maneno na wabunge.
Msingi wa vita yenyewe ni hatua ya baadhi ya wabunge kupinga utaratibu
alioutumia Makonda kuwataja
Hatimaye imedhibitika kuwa Mwenyekiti wa Timu ya soka ya Yanga na
Mfanyabiashara mkubwa nchini Tanzania Yusuph Manji anatumia madawa ya
kulevya na leo atapandishwa kizimbani kwa tuhuma hizo akiwa pamoja na
watuhumiwa wengine wanaoshikiliwa kwa sakata kama hilo.
Katika Kipindi cha michezo katika redio moja nchini Kamanda wa Polisi
Kanda Maalum ya Dar es Salaam Kamishna, Simon Sirro amethibitisha kuwa
vipimo vya Mkemia Mkuu wa Serikali alivyofanyiwa Manji
MKAZI wa Kitongoji cha Njisi, Kijijiji cha Kilwa, wilayani Kyela, Tummanye Makula (35) , amekaa na ujauzito miezi 13 na kushindwa kujifungua.
Hata hivyo, baada ya maombezi, alijikuta akijifungua chura na baadaye mdudu wa ajabu akiwa na manyoya meusi.
Tukio hilo lilitokea mwishoni mwa wiki baada ya dada huyo kumpigia simu Mchungaji wa Kanisa la Tample Of Prayer For All Nations Church, Nabii Charles Mkuvasa wa mjini Kyela akihitaji kuombewa.
Alicuhukua hatua hiyo baada ya kukaa na ujauzito kwa muda wote huo na kushindwa kujifungua, licha ya
Akizungumza live kutoka Clouds Fm, Diamond ametamka rasmi kuwa staa Wema Sepetu ni miongoni mwa wageni waalikwa kwenye sherehe hiyo, kwa upande wa Zari Hassan nae amesema hana shida na ujio wa Wema Sepetu Kwenye Arobaini ya Nillan ambaye waliwahi kuingia kwenye bifu kipindi cha nyuma.
Rapa Darassa amefunguka na kuweka wazi jambo ambalo katika maisha yake
ya muziki lilimkwaza sana na hataweza kulisahau ni baada ya mmoja wa
Producer wake kutoka AM Record Manecky kumkatalia kufanya kazi ambayo
ndiyo iliweza kufungua zaidi milango
Baada
ya kuwa na tetesi za kuachana kwa Hip Hop Couple ya Nicki Minaj na Meek
Mill, Jan 5 2017, hatimae tumepata kauli ya mwisho kutoka kwa Nicki
Minaj kuhusu tetesi hizo.
Mbali
na kauli hiyo pia zilishaibuka tetesi Nov 21 mwaka Jana (2016) kuwa
Nicki Minaj amempata mwanaume wa kumrithi Meek Mill baada ya kumpiga
chini. Mwanaume huyo
Familia moja jijini Arusha inadaiwa kumzika kwa siri mtoto wao mdogo wa
kike wa miaka mitatu katika kaburi lililofichwa, huku majirani
wakidanganywa kuwa binti huyo yupo hai.
Taarifa za kisa hicho cha kusikitisha zimevifikia vyombo vya usalama.
Kwa sasa kuna mipango ya kuhakikisha kuwa mwili wa binti huyo, Nuru
Losipha aliyezikwa kwa siri na familia yake,
⏩BY@lemutuz_nation - Wiki hii the National Debate is MADAWA YA KULEVYA
kama ulivyo ushoga it is another very sensitive Subject niliwahi huko
nyuma kusema kwamba binafsi ninalifahamu sana hili la Drugs kwa sababu
nimewahi kuishi at the Source of it New York City nilichokiona kwa macho
yangu ni kwamba once binadam akishajikita kwenye kuyatumia madawa ya
kulevya huwa anafikia kutumia Cocaine kwa njia ya kujidunga Sindano that
is the end of story ni almost impossible kwa yule binadamu kuja ku
recover...I am just being realistic na sio kumkatisha anybody tamaa
mfumo wa Ubepari Capitalism una tabia moja ya kuheshimu walioshinda tu
lakini hauna nafasi kwa walioshindwa tunawahitaji sana Investors like
kutoka USA but tatizo ni kwamba wanapokuja kuwekeza wanakuja na
utamaduni wao pia au the American Culture ambayo inapokuja
Hapana shaka hata kidogo mziki wa Bongefleva umepanda chati kwa kasi
sana kimataifa hasa barani afrika na wanamuziki wake wamekuwa na
ushawishi mkubwa katika kiwanda cha muziki ndani na nje ya nchi..
Mpaka mziki huu umefanikiwa kufika hapo imekuwa ni safari iliyojaa
milima na mabonde! Kuna
Msanii wa hip hop nchini Paka Rapa (Young Dee) amesema hatumii dawa
zozote za kukuza misuli yake na mwili wake bali anafanya mazoezi kila
siku na bado hajafikia katika kiwango ambacho anataka kufikia.
Hata hivyo akiongea kupitia eNewz, Young Dee amesema anazingatia
chakula, muda wa mazoezi na
BONYEZA PICHA HAPA KUIONA VIDEO AKIWA DUBAI LIKE COMMENT VIDEO YA JUX NA VANESSA MDEE BOFYA PICHA HAPO CHINI
Jana Asubuhi iliandikwa Habari iliyokuwa imechapishwa kwenye gazeti la
Tanzania la kila siku ‘Mtanzania’ ambapo kichwa cha habari cha taarifa
hiyo kilikuwa kikisomeka ‘Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete azuiwa kusafiri
nje ya nchi uwanja wa ndege Dar es Salaam.’
Katika habari hiyo, gazeti hilo liliandika kuwa kutokana na taarifa
lililozipokea ni kuwa Rais Mstaafu
Upelelezi wa kesi inayomkabili Salum Njwete maarufu kama Scorpion
anayetuhumiwa kumsababishia upofu wa kudumu Saidi Mrisho umekamilika na
hatimaye shauri hilo litasomwa Novemba 30 mwaka huu katika mahakama ya
manispaa ya Ilala.
Njwete anatarajiwa kusomewa mashtaka yake baada ya yale ya kwanza
kufutwa ambapo itakuwa ni mara ya kwanza kusikilizwa baada ya
kufunguliwa mashtaka mapya.
Huyu ndiye Scropion, kijana aliyejizolea umaarufu ambapo watu wengi
hupenda kumshuhudia kila aingiapo na kutoka mahakamani huku kila mmoja
akizungumza lake kwa kesi inayomkabili.
Alipoingia mahakamani leo, aliomba ufafanuzi wa wazi juu ya mashtaka
yanayomkabili ambapo upande wa jamhuri kupitia kwa wakili wake Chesensi
Gavyole walisema ushahidi umekamilika.
Kutokana na kuombwa ufafanuzi, Hakimu anayesimamia kesi hiyo Flora Haule
amesema baada ya upelelezi huo kukamilika kesi hiyo itasomwa Novemba 30
mwaka huu, hivyo mshtakiwa atapata ufafanuzi wa mashtaka yake .
Ikumbukwe kwamba Oktoba 19 mwaka huu, Salum Njwete maarufu kama Scropion
alifutiwa kesi na kisha kusomewa upya mashtaka yake kutokana na uamuzi
wa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliyeomba kufanya hivyo baada ya hati ya
awali kuwa na mapungufu ya kisheria
VIDEO DAKIKA TANO KOFFI OLOMIDE ALIVYOMPIGA DANSA WAKE
Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti
wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya NINI AU NI utamu wao kama Mwana FA
alivyoimba