Tuesday 19 April 2016

KAMA HUKUSKILIZA ILE STORY YA YULE BINTI WA KAZI MCHAWI ALIYEKUWA AKIFANYISHA MABOSS ZAKE KAZI SKILIZA HAPA

LAYIII
Binti mmoja ambaye jina lake tunahifadhi amekiri kuwa alikuwa
bonyeza picha hiii kujiunga nami kuiona video yake kwa ukubwa zaidi usiache kusubscribe nami youtube 
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4

 akitumikisha mabosi zake kufanya kazi za ndani kwa njia ya kishirikina huku yeye akiwa amelala ametulia tuli
binti huyu alikiri kuwa nguvu zake ziliongezeka zaidi baada ya kumtoa kafara mtoto mmoja wa

MAGUFULI ATAKA DARAJA LA KIGAMBONI LIPEWE JINA LA NYERERE

LAYIII
Bonyeza picha hiii kujiunga amazon shop ili uweze kununua kifaa chochote cha electronics
Daraja
Daraja la kigamboni lina urefu wa mira 680
Rais wa Tanzania John Magufuli amependekeza daraja mpya la Kigamboni lipewe jina la mwanzilishi wa taifa hilo Mwalimu Julius Nyerere.
Akiongea muda mfupi kabla ya kuzindua rasmi daraja linafaa kupewa jina la Mwalimu Julius Nyerere kutokana na mchango wake kwa nchi hiyo.
Daraja la Kigamboni lilianza kutumika tarehe 16 Aprili, 2016 na lina urefu wa mita 680 na barabara

KAKA YAKE DIAMONDPLATNUMZ KUBAKA HUKO SWEDEN UKWELI HUU HAPA

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NAMI HABARI KWA NZIA YA VIDEOZ
rommy
Kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones.
STORI: Musa Mateja, Wikienda
Dar es Salaam: Mwisho wa utata? Hatimaye ukweli juu ya sakata la kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones umeanikwa ndani ya Ijumaa Wikienda ambalo ni namba moja kwa habari za mastaa ndani na nje ya Bongo.
Kabla ya gazeti hili kuchimba undani wa msala huo, kulienea tetesi mbalimbali kuwa Rommy ambaye ni DJ

KISA KUONGEA KIARABU ATOLEWA KWENYE NDEGE

LAYIII
BONYEZA PICHA HII KUNUA COMPUTER KWA BEI POA KABISA
www.amazon.com/gp/product/B0172BP1W6/ref=as_li_tl?ie=UTF8&camp=1789&creative=9325&creativeASIN=B0172BP1W6&linkCode=as2&tag=googleplaysto-20&linkId=LRXRIWQS2SMIHS3H
Mwanafunzi wa chuo kikuu raia wa Iraq katika jimbo la California nchini Marekani anasema kuwa alitolewa kutoka kwenye ndege ya shirika la ndege la Southwest baada ya kufanya mazungumzo kwa lugha ya kiarabu.
Shirika hilo la Southwest lilisema kuwa Khairuldeen Makhzoomi aliondolewa ndegeni tarehe 9 mwezi Aprili kabla ya ndege hiyo kupaa.
Bw Makhzoomi anasema alikuwa akizungumza na mjomba wake

advertise here