Wednesday 20 April 2016

MAUMIVU YA TUMBO

LAYIII
JIUNGE NA BZTV BONYEZA PICHA HAPA

Maumivu ya tumbo ni dalili inayosumbua watu wengi kwa wakati na umri tofauti. Karibu kila mtu katika maisha yake atapata namna fulani ya maumivu ya tumbo. Kuna sababu mbalimbali zinazosababisha maumivu ya tumbo na mara nyingi huwa sio za kutisha, hutubiwa na kupona. Mara chache husababishwa na hali ambazo zinaweza kuhatarisha maisha yako. Maumivu yanaweza kuwa katika sehemu maalum ya tumbo au tumbo zima.

UROJO UMEPIGWA MARUFUKU KUUZWA ZANZIBAR

LAYIII
JIUNGE NA BZTV BONYEZA PICHA HAPA
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g
WIZARA ya Afya ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imepiga marufuku biashara za vyakula, ikiwemo vya maji maji kama urojo zinazofanywa na wafanyabiashara ndogo pembezoni mwa barabara kutokana na kuongezeka kwa hofu na kasi ya ugonjwa wa kipindupindu.

Waziri wa Afya, Mahmoud Thabit Kombo wakati akitoa taarifa kuhusu ugonjwa wa kipindupindu, amesema hali imekuwa mbaya zaidi katika kipindi hiki cha mvua za masika zinazoendelea kunyesha nchini kote.

MADHARA YA UTOAJI WA MIMBA NIMEKUSOGEZEA HAPA

LAYIII
BONYEZA PICHA JIUNGE NA BZTV 

Kutoa mimba ni nini? Hii ni hali ya mwanamke kwa hiari yake mwenyewe kuharibu mimba iliyoingia ndani ya kizazi chake.

Kutokana kuongezeka kwa idadi ya mahusiano duniani na kutotumia njia za uzazi wa mpango kwa watu wengi walioko kwenye mahusiano, wasichana wengi kwa sasa wanatoa mimba.

Utafiti nilioufanya mwenyewe nimegundua kwamba zaidi ya asilimia tisini ya wasichana wanaokua kwenye mahusiano na wanaume zaidi ya mwaka mmoja kabla ya ndoa hutoa mimba na asilimia tano tu ya wote ndio

MVUA YAONGEZA MAJI MACHAFU BWAWA LA KIDATU HOFU YA KUHARIBIKA KWA MIUNDO MBINU YATANDA

LAYIII
Bonyeza picha hii hushuhudia volcano ilivyowaka ndani ya bwawa flani maeneo ya iringa
https://youtu.be/8B2S3rtS304
Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha kuongezeka kwa maji kupita kiasi katika bwawa la kufua umeme la Kidatu na kuvuka kiwango chake cha kawaida cha mita za ujazo 450 hadi 450.5 kutoka usawa wa bahari, hali inayotishia kuharibika kwa miundo mbinu ya bwawa hilo na maji kuwaathiri wananchi wanaofanya shughuli zao zikiwemo za uvuvi na kilimo kandokando ya mto Ruaha mkuu na Kilombero.
Mkurugenzi mkuu wa shirika la umeme Tanzania Tanesco Mhandisi  Felchecim Mramba amesema maji hayo yakiachiwa, yanaweza kusababisha maafa makubwa na hasara kubwa kwa taifa, kwani miundo mbinu itaharibika na uzalishaji wa umeme hautaweza kuendelea, wakati umeme unaotumia maji umekuwa na

WAWILI WAFARIKI DUNIA BAADA YA GARI YAO KUDUMBUKIA NDANI YA BAHARI KIVUKO CHA KIGAMBONI

LAYIII
Shudia ajari ya moto katika scania moja maeneo ya hiko sumbawanga bonyeza picha hii mtu wangu
https://www.youtube.com/watch?v=9sM6NHl7Xzw
Watu wawili wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakitumia kudumbukia ndani ya bahari ya Hindi baada ya dereva wa kivuko cha Kigamboni jijini Dar es Salaam kushindwa kufunga mlango wa kifuko hicho kwa ufasaha.
Ajali hiyo ya kuzama kwa gari hilo ilitokea majira ya alfajili ya kuamkia leo ambapo kwa mujibu wa taarifa zilizopatikana, marehemu hao walikuwa wakivuka kutoka katikati ya jiji kuelekea Kigamboni huku mlango

APRIL 12/2016 HAYA NDIO MAGAZETI YA LEO

LAYIII
April 21 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, UdakuMichezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @SWAXBZ ili niwe nakutumia

Video | Cliff Mitindo Feat. Mo Music - Natamani [Official Music Video]

LAYIII



Download | Malaika - Rarua Rarua [Audio]

LAYIII

Video | Salamu TMK - Mfuko [Official Music Video]

LAYIII


Download | Bright Feat. Barakah Da Prince - Nitunzie [Audio]

LAYIII

Download | Haitham Feat. Mwana FA - Fulani [Audio]

LAYIII





ALIENS WAITAJIRISHA MAREKANI

BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBEhttps://www.youtube.com/watch?v=g2KepoPu_C0Wiki iliyopita nilianza simulizi hii ya viumbe wa ajabu waitwao Aliens waishio angani. Niliishia pale nilipoanza kueleza ni viumbe gani hawa ambao wamekuwa wakihusishwa na upotevu wa watu na ndege duniani? SASA ENDELEA…
Juu ya viumbe hawa wa ajabu waishio angani waitwao Aliens, mifano mingi inayotolewa inalenga kuthibitisha kuwa kweli kuna viumbe wa ajabu ambao wamekuwa wakishindana na binadamu bila wenyewe kujua hivyo kuwapa kazi kubwa wanasayansi wa anga kufanya utafiti wa ziada.

AUDIO JINSI PAUL MAKONDA ALIVYOMSHITAKI WILSON KABWE KWA MWESHIMIWA RAIS

LAYIII
Haya ndiyo yaliyojjitokeza katika uzinduzi wa daraja la kigamboni kama hukupata kumskia magufuli ni nafasi yako sasa na jinsi wilson kabwe alivyosimamishwa kazi chini ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam paul makonda
http://www.fikrapevu.com/wp-content/uploads/2012/02/wilson-kabwe.jpg
Makonda alimshtaki kabwe kwa mweshimiwa rais. Moja wapo ya tuhuma za kabwe kwa mujibu wa makonda ni kuendesha kituo cha mabasi yaendayo mikoani kifisadi ambapo mapato mengi huishia mifukoni mwa wachache. Rais amemfukuza kazi kabwe mbele

TRILIONI MOJA IMETENGWA KWA AJIRI YA KUONDOA MALORI YA KUBEBA MIZIGO JIJINI DAR ES SALAAM

LAYIII
JIUNGE YOUTUBE BONYEZA PICHA HAPA
Malori  ya kubeba mizigo, ambayo yamekuwa yakichangia msongamano wa magari kwa kiasi kikubwa jijini Dar es Salaam, yanatarajiwa kuondolewa mara tu reli ya kisasa ‘Standard Gauge’, iliyotengewa Sh trilioni moja katika Bajeti ya Serikali, itakapofika Ruvu mkoani Pwani.

Rais John Magufuli amesema hayo jana wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya kwanza ya juu (Flyover) nchini Tanzania, inayojengwa katika makutano ya Barabara ya Mandela na Barabara ya

MAGUFULI AFYATUA MTEGO WA MAKONDA NI NDANI YA MAGAZETI

LAYIII
UKITAKA KUJUA UNDANI BONYEZA PICHA HIII
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4

KUMBE RIHANNA ALITAKA KUSABABISHA KIFO KWA CHRISS BROWN

LAYIII
Chris Brown:Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna 
Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.
BONYEZA PICHA HII KUJIUNGA NA CHANZO

https://www.youtube.com/watch?v=WoyqBDkOBr4
Nilitaka kujiua kwa sababu ya Rihanna
Mwanamuziki Chris Brown amesema kuwa alitaka kujiua baada ya kumshambulia aliyekuwa mpenziwe Rihanna kabla ya tuzo za Grammy mwaka 2009.
Katika kipande kifupi cha makala yake ya 'Karibu katika maisha yangu',mwanamuziki huyo wa mtindo wa R

advertise here