Thursday, 1 October 2015
ALIENS WATENGENEZA NDEGE KAMA SAHANI
LAYIII
Wiki
iliyopita nilianza kuliangalia Eneo la Area 51 ambalo linahusishwa na
hawa viumbe wa ajabu waishio angani wa Aliens. Eneo hili lipo katika
Jimbo la Nevada nchini Marekani ambapo kama ilivyokuwa kwa Bermuda
Triangle, nalo limejaa mauzauza ya kila aina. SASA ENDELEA…
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Japo ni siri kubwa lakini inaaminika kuwa wapo Aliens wanaoishi eneo hilo ambalo lina ngome kubwa ya kijeshi ambayo mlango wake wa kuingilia umetengenezwa kamba pyramid (pembetatu) na ambao umechongwa kwa alama ya jicho moja. Kuhusu uwepo wa hawa Aliens eneo hili ndipo yanapoibuka maswali mengi hasa njia ya mawasiliano wanayotumia kwa maana ya lugha au ishara.
Subscribe to:
Posts (Atom)