Wednesday 23 March 2016

NDEGE KUBWA KUPITA ZOTE DUNIANI KUZINDULIWA

LAYIII
UNATAKA KUJUA NAMNA YA KUHACK FACEBOOK ACC BASI USIJALI BONYEZA PICHA YOYOTE HAPA CHINI
https://www.youtube.com/watch?v=M3iWPmDcf5g
The Airlander 10 ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.
Picha mpya za ndege ndefu zaidi duniani zimetolewa kabla ya kuzinduliwa kwa mara ya kwanza.
Ndege hiyo inayojulikana kama (The Airlander 10) ina urefu wa mita 92 ikiwa ni mita 18 zaidi ya urefu wa ndege ya kawaida.

GUMZO LA WANASAYANSI POVU LA CHURA DAWA YA VIDONDA

LAYIII
BONYEZA PICHA KUONA VIDEO YA MWANAMKE ALIYEKUWA AKICHEZA OFISINI KIMAHABA
Chura
Povu linalotengenezwa na vyura wadogo kwa ajili ya kulinda mayai yao linaweza kuponya majeraha ya wagonjwa walioungua, wanasema wanasayansi.
Povu gumu linaweza kukusanywa na kutumiwa katika mchakato wa matibabu kama kizuizi baina ya bandeji na ngozi iliyoungua, wanaamini.

RAIS MPYA WA FIFA NDANI YA SUDANI YA KUSINI

LAYIII
Rais mpya wa FIFA Gianni Infantino amefungua afisi ya shirikisho la kandanda la Sudan Kusini katika safari yake ya kwanza ya kimataifa tangu achaguliwe rais wa shirikisho hilo la soka duniani mwezi uliopita.

.
Infantino alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na wenyeji wake.
Aidha Infantino alitumia ziara hiyo kusheherekea siku yake ya kuzaliwa.

BABU TALE AIYONA AFYA YA CHID BENZ AMKIMBIZA KWENYE MATIBABU

LAYIII
Mastaa kadhaa wa Tanzania walitumia time yao kumuongelea rapper Chidi Benz akiwemo staa wa bongo hiphop Fid Q ambaye alisema Chidi Benz asisimangwe wala kunyooshewa kidole kwa kutelezea kwenye utumiaji wa dawa za kulevya bali asaidiwe… ambapo baada ya kuonekana kwenye D’Wikend chat show ya CloudsTV watu walianza kusambaza picha zake za zamani na muonekano wake wa sasa akionekana 

advertise here