Tuesday 15 March 2016

UNAJUA MILIONI 50 ALIZOSHINDA KAYUMBA HUKO BONGO STAR SEARCH ZILITUMIKAJE BASI JIUNGE NAMI HAPA

LAYIII
Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe.
Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo cha Mkubwa na Wanawe.

BONYEZA PICHA KUJIUNGA NAMI YOUTUBE

JE KUNA UKWELI KUHUSU RAIS MAGUFULI KUWAPUZIA MARAIS WASTAAFU ULINZI ........ UKWELI WOTE HAPA

LAYIII
Kwenye Gazeti la JamboLEO, toleo namba 2381 la tarehe 15 March 2016 limechapisha taarifa yenye kichwa cha habari kisemacho Magufuli awapunguzia ulinzi marais wastaafu
Taarifa yake kamili ipo katika ukurasa wa nne na inaeleza kuwa Rais Magufuli amewapunguzia

advertise here