Monday 14 November 2016

MICHIRIZI INAYOONEKANA KTK MIILI YA WANAWAKE HUASHILIA NINI

Hivi Ile michirizi inayoonekana kwa baadhi ya kinadada nyuma ya goti wakiwa wamevaa sketi fupi huwa ni ishara ya NINI AU NI utamu wao kama Mwana FA alivyoimba
 "Michirizi ya utamu nyuma ya goti mimi hoi na moyo hai sio toi "  au ugonjwa wa ngozi?

No comments:

Post a Comment

advertise here