Sunday 21 February 2016

KTK HEADLINE ZA MJINI NI WEUPE WA BINADAMU NA NGUVU YA MAJI MSIKILIZE RAY AKIZUNGUMZIA WEUPE WAKE HAPA

LAYIII
Mwigizaji wa bongomovie Ray ‘Vicent Kigosi’ ametajwa sana na headlines za Tanzania ndani ya siku 7 zilizopita kuhusu weupe wa ngozi yake na kukawa na mistari kwamba amekua akitumia mkorogo tofauti na zamani ndio maana rangi ya ngozi imebadilika, mengi ameyaongea kwenye hii video hapa chini alipohojiwa na CloudsFM Leo Tena pia kuhusu movie yake mpya ‘Tajiri Mfupi




No comments:

Post a Comment

advertise here