Wednesday 30 September 2015

NYUMBA 15 ZA MASTAA ZILIZOONGOZA KWA UFAHARI HADI KUFIKIA NOV.2013

layii
Mastaa wengi wamekuwa wakijituma katika kazi zao ili kuhakikisha wanaishi maisha ya kifahari kulingana na kazi wanazofanya., wengi huwekeza zaidi katika majumba ya kifahari, magari na hata wengine katika biashara.

Leo nimekusogezea List ya nyumba 15 za mastaa zinazoongoza kwa ufahari zaidi hadi kufikia Novemba 2013..

opra
1. Hii ni nyumba ya Oprah Winfrey iliyopo California, ina vyumba vya kulala 8 na mabafu 14 pamoja na eneo kubwa la kuogelea

rob
2.Nyumba ya  Robbie Williams iliyopo Los Angeles

travolta
3. Hii ni nyumba ya John Travolta iliyopo Florida, ina eneo kubwa linalomwezesha pia kupaki ndege yake aina ya Boeing 707

home4
4. Hii ni nyumba ya Rod Stewart, pia ina eneo kubwa la uwanja ambalo hutumia kwa ajili ya mazoezi na kukodisha

hom5
5.Hii ni nyumba ya kifahari ya mwigizaji Will Smith ipo California, ina eneo la uwanja wa Tennis pamoja na Kikapu, alitumia zaidi ya dola milioni 20 kuikamilisha

home7
6. Hii ni nyumba ya Gene Simmons iliyopo California, ina ukubwa wa mita za mraba 16,500

home8
7.  Hii ni nyumba ya Jerry Seinfeld

home9
8. Hii ni nyumba ya Brad Pitt na mke wake Angelina Jolie, ina ukubwa wa mita 22,000, ina vyumba vya kulala 18

home10
9. Hii ni nyumba ya Eddie Murphy, ina swimming pool ya maji ya moto na nyingine ya baridi, pia ina uwanja wa tennis pamoja na vyumba vya burudani

hom12
10. Nyumba ya Jennifer Lopez iliyopo Los Angeles

hom13
11. Ni nyumba ya Hugh Hefner yenye eneo la mita 20,000, pia ina jumla ya vyumba vya kulala 26

hom14
12. Ni nyumba ya Celine Dion iliyopo Florida

cent
13. Ni nyumba ya rapper 50 cent, ina vyumba vya kulala 19, mabafu 37 na vumba sita kwa ajili ya jiko

bekam
14. Hii ni nyumba ya mwanasoka David Beckham, ipo Beverly Hills na imewekwa uzio kabisa wa kuzuia waandishi wa habari kupiga picha

tom
15. Hii ni nyumba ya Tom Cruise iliyopo Beverly Hills, ina eneo la ukubwa wa eka 1.4 pia uwanja wa tennis

No comments:

Post a Comment

advertise here