Monday 5 October 2015

KILA WAKATI MAYWEATHER, JUSTIN BIEBER HUWAKOSI KATIKAHEADLINE ZA MAISHA YAO

LAYIII
Kila wakati bondia Floyd Mayweather humkosi kwenye headlines zinazohusu maisha yake ndani na nje ya kipaji chake…mara kwa mara amekuwa akizungumziwa kutokana na utajiri alionao huku akiwa na matumizi yaliyopitiliza ya pesa zake.
Safari hii ameonekana akila bata katika fukwe za Bora Bora pamoja na rafiki yake mkubwa mwanamuziki Justin Bieber.

Katika ukurasa wake wa @Instagram Mayweather ametupia clip ya video ikiwaonyesha akiwa na Bieber wamesimama huku wanahesabu dola na kuendelea kufurahia maisha yao.
bataa

bata2

bata3

bata4



No comments:

Post a Comment

advertise here