Saturday 2 April 2016

RAILA ODINGA ATUA CHATO NYUMBANI KWA MAGUFULI KWA KUTUMIA HELKOPTA BINAFSI

LAYIII
Raila Odinga baada ya kufika Chato alisemamimi na familia yangu tupo likizo na tumekuja kumtembelea rafiki wa familia yetu, nimekuja kupumzika na mke wangu na mtoto wangu wa kike, pia nimekuja kutoa pongezi kwa ndugu yangu kwani tangu achaguliwe sijaja hapa Chato na nilisema siendi Dar, nitakuja hapahapa Chato

r2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Waziri Mkuu mstaafu wa Kenya Raila Odinga nyumbani kwake Chato mkoani Geita
r3
r4
Mama Janeth Magufuli, Rais Magufuli na Raila Odinga
r5
r6
Familia ya Rais Magufuli ikimkaribisha Mama Ida Odinga
r7
Raila Odinga na Rais John Magufuli, Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli pamoja na Mke wa Raila Odinga Ida Odinga wakisali kwenye makaburi ya familia ya Rais Chato Geita.
r8
Raila Odinga akisalimiana na mama mzazi wa Rais Dkt. John Pombe Magufuli Suzana Joseph Magufuli baada ya kuwfika nyumbani kwa Rais Magufuli Chato Geita
r10
Raila Odinga, Mama mzazi wa Rais Magufuli pamoja na mke wa Raila Odinga, Ida Odinga.

No comments:

Post a Comment

advertise here