Sunday 30 August 2015

BINADAMU WA AJABU ANAYEFANYA KAZI NYINGI KWA MASAA

LAYIII
KUMBUKA HII IMEKAA KIUDAKU ZAIDI NOT PROVE ZEN LETS GET TOTHE POINT OK
 ......MAAJABU YA DUNIA.....
Huyu ndie binadamu wa hatari zaidi na mwenye maajabu Duniani na anasifa kuu 7.
1:Anauwezo wa kufanya kazi kwa wiki bila kula.
2:hakuzaliwa na Mama,bali alizaliwa na Baba.
3:Anauwezo wa kutabiri ya kesho nayakawa sawia.
4:Anaongea zaidi ya lugha zipatazo 10,000.
5:Anaweza kutembea umbali mlefu bila kupumzika.
6:Hakuwahi kunyonya maziwa kwa mama wala ya mnyama.
7:Alizaliwa anajuwa kuongea,pindi alipokuwa na umri wa siku 3.
NINI MTAZAMO WAKO KWA KIUMBE HUYU.


No comments:

Post a Comment

advertise here