Sunday 30 August 2015

HUU NDIO UFUNGUZI WA KAMPENI ZA ACT CHINI YA KIONGOZI WAO MKUU ZITO KABWE

LAYIII

Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo
katika viwanja vya Mbagala Zakheem, chama ambacho ni kipya katika medani za siasa ila August 30 kimemtambulisha rasmi mgombea Urais wake Anna Mghwira sambamba na mgombea mwenza wake Hamad Musa Yusuph. Kampeni hizo zilihudhuriwa na wagombea ubunge na udiwani, wasanii mbalimbali pamoja na viongozi wengine wa chama kama Zitto Kabwe, Prof Kitila Mkumbo.
Hizi ni picha za uzinduzi huo video nakuwekea Ayo Tv 
DSC_0051
DSC_0053
DSC_0081
DSC_0082
DSC_0086
DSC_0156
DSC_0160
DSC_0179
DSC_0186
DSC_0195
DSC_0196
DSC_0237
DSC_0243
DSC_0285
DSC_0287
DSC_0357
DSC_0361
DSC_0364
DSC_0406
DSC_0416
DSC_0427
DSC_0438
DSC_0445
DSC_0447
DSC_0456
DSC_0491
DSC_0492
DSC_0526
DSC_0596
DSC_0607

No comments:

Post a Comment

advertise here