Wednesday 23 November 2016

WCB YAINGIA UBIA NA LEBO KUBWA YA MUZIKI DUNIANI UNIVERSAL MUSIC

Mwanamuziki Diamond Platnumz ametangaza kwa mara ya kwanza kuwa lebo yake imeingia partnership na lebo kubwa ya Muziki Duniani inayojulikana Kama Universal Music, Lebo hiyo
itakuwa inasambaza kazi za Wasanii wote wa WCB na Mkataba wake adai amelipwa Dola Milion Moja...
Diamond Ameongea hayo katika Kipindi cha XXL cha Clouds FM,,,

No comments:

Post a Comment

advertise here