Tuesday 22 November 2016

AUDIOMPYA: RICH MAVOKO NA DIAMOND WANAKULETEA“KOKORO”

Baada ya kukaa kimya kwa muda kidogo, mwimbaji star kutoka lebel yenye mastaa wakali sana Tanzania, WCB, Richard a.k.a Rich Mavoko a.k.a Tajiri wa Vocals amekutana kwa mara ya kwanza kwenye collabo na Diamond Platnumz, ndani ya brand new joint “Kokoro”.
Mzigo huu ni another hit kutoka “nyumba ya ngoma kali” kama wanavyoiita wenyewe, umetayarishwa na maproducer wawili ambao ni Lizer kutoka WCB na Abby Daddy.
Unaweza kuiskiliza kwa kubonyeza Play hapo chini au ipakue kwa PLAY

No comments:

Post a Comment

advertise here