Monday 9 March 2015

KWA MAMBO HAYA MWENYEZI MUNGU ATUNUSURU KWA KWELI DUUU

Mtoto albino, Baraka Cosmas (6) anayeishi na wazazi wake kijijini Kipeta, mkoani Rukwa jana ameshambuliwa na kujeruhiwa vibaya kwa kukatwa kiganja cha mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana kisha kutokomea nacho kusikojulikana.

No comments:

Post a Comment

advertise here