Kutoka Ohio kuna story ya jamaa
aliyepiga simu Polisi kuripoti kwamba mkewe amemuibiwa dawa hizo za
kulevya, Polisi wakamkata na kumfikisha Mahakamani.
Jamaa huyo Robert D. Collins
ambaye umri wake ni miaka 39 alishtakiwa kwa makosa mawili, kwanza kwa
matumizi mabaya ya namba ya dharura ya 911 na pia kukutwa na kiko ambayo
ndani yake ilikutwa na bangi japo haikufahamika kama mke wake alikutwa
na cocaine ambazo Collins alilalamika kuibiwa.
No comments:
Post a Comment