Monday 9 March 2015

MADAMUUUU WEMA SEPETU NDANI YA STUDIO ZA RADIO 5 ARUSHA

NI NOUMA NDANI YA RADIO 5 ARUSHA YAAANI NI HAPATOSHI A TAWOO CHEKI SNAPE ZAKE HAPA WANGU
SAM_1388
Wema Sepetu akiwa ndani ya studio za Radio 5 jana mara baada yan kufanya ziara fupi mjengoni hapo akielezea pia kuhusu show yake ya black and white party iliyofanyika jana usiku tarehe 7/3/2015 jijini Arusha kushoto ni mtangazaji mahiri wa kituo hicho Wilfredy akiwa anafanya kipindi na mwanadada huyo, Wanaonekana pichani ni team Wema.
SAM_1387
Wema Sepetu akiwa anaeleza furaha yake yakuwepo jiji Arusha ambapo amesema jiji la Arusha ni miongoni mwa majiji anayoyapenda, Mwanza ikiwa ya kwanza na Arusha ya pili, Kulia ni msanii Petiman a.k.a Wakuache. 

SAM_1381
Mkuu wa vipindi vya Radio5 kulia Mathew Phillip akiwa anakaribisha team Wema.
SAM_1372
Msafara wa Wema Sepetu ukiingia kwa mbwembwe katika studio za Radio5 zilizopo njiro jijini Arusha.
SAM_1374
Muonekano wa Wema Sepetu akiingia mjengoni akiwa katika gari la kifahari la wazi.
SAM_1393
Meneja wa Wema Sepetu Martin Kadinda akiwa anatoa neno la shukran kwa wana Arusha kwa mapokezi yao makubwa.
SAM_1406
Team mishemishe wakiwa na Wema Sepetu, kushoto; Mwanaisha Suleiman, Wema Sepetu, Mwangaza Jumanne na Hilda Kinabo wakishoo love.
SAM_1394
Camera man wa Wema Sepetu akiwa anachukua matukio.
SAM_1404
Mtangazaji mahiri wa kituo cha Radio5 Wilfredy akiwa katika picha ya pamoja na mwana dada Wema Sepetu.
SAM_1407
Team wema wakiwa wanaondoka katika studio za Radio5.
 

No comments:

Post a Comment

advertise here