Friday 6 May 2016

JE?: NI KWELI SHILOLE HUMFIKII VANESSA KWA UZURI

Like page yetu ya facebook hapa SWAXBZ usipitwe na habari kila siku
 kiwa zimepita siku kadhaa toka msanii Shilole afunguke kwenye kipindi cha 5Selekt kinachorushwa kwenye ting'a namba moja kwa vijana EATV kuwa hakuna msanii wa bongo fleva mzuri zaidi yake, mashabiki
Bonyeza picha hii kuona baadhi ya clips za shilole

https://www.youtube.com/watch?v=iAzdoV5TW1Y
wameamua kutoa ya mioyoni.

Mashabiki wamemchana Shilole na kusema kuwa yeye si mwanamke mzuri katika wasanii wanaofanya bongo fleva huku wakisema kuwa uzuri wake hausofei kabisa kwa msanii Vanessa Mdee.

Baadhi ya mashabiki walikuwa wakimpa madongo kuwa mwanamke mzuri hawezi kujianika kama yeye, huku wengine wakisema kuwa mwanamke mzuri hawezi kuwa yeye kutokana na tabia yake ya kutojiheshimu na wengine wakisema kuwa yeye hana lolote na wa kawaida kabisa.

"Kuna manzi wakuitwa Vanessa cheki yule manzi alivyo mcute wewe nani wachakuji puraaaaaaaaaaa" Africanboihacker 
https://www.google.com/friendconnect/signin/home?st=e%3DAOG8GaBerJQT2yFRtBNC4NNsXTpQnzS5VUDzQFvNVZSt40QqyZxd8sdbvaTlC9f%252FNo0C%252Boo%252BViDTuzPpYw6q%252BNJY09AIjmsOTRgnDuOCjfoQabKvOvdGSsvMo%252B3HdFAo3AujhYOOcLgY3nYrjmUxEywEkLSD8ItmTbYQ%252BlIfjONIKViAZsgzs3r9U1%252BSquthavnFflFcwbv0XwVBkiSrgniqBlxYxjVXWA%253D%253D%26c%3Dpeoplesense&psinvite=&subscribeOnSignin=1


No comments:

Post a Comment

advertise here