SHAMSA FORD KASEMA ALIACHANA NA NAY WA MITEGO KISA MANENO YA WATU ILA KWA SASA AKISEMA WARUDIANE YUPO TAYARI
LAYIII Ukweli vigodoro haviwezi kuisha dar bonyeza picha hii kushudia vigodoro vingine huko bichi
Baada ya kauli ya rapa Ney wa Mitego kwa mpenzi wake wa zamani,
Shamsa Ford kwamba kama anachagua wasichana wa kurudiana naye atakuwa wa
kwanza kutokana na ukarimu na mapenzi yake, mrembo huyo ameibuka na
kufurahia kauli hiyo.
Shamsa ambaye mara zote alikuwa amepambwa na Bashasha, alidai Penzi lake na rapa huyo lilivunjwa na maneno ya watu.
“Mimi na Ney tuliwahi kuwa wapenzi japo tumeachana ila kiukweli
tulipendana sana na kama tutarudiana hakuna tatizo kwa kuwa nampenda
sana.
“Tuliachana na Ney kutokana na maneno maneno ya watu waliokuwa
hawapendi penzi letu, lakini kama anataka turudiane nipo tayari,”
alijieleza Shamsa huku akifurahia kauli zake hizo.
Aliongeza kuwa yeye si mnafiki kwa alichonacho moyoni na hawezi
kuongea kwa kashfa kama baadhi ya waigizaji wenzake wanapotofautiana ama
kuachana na waliokuwa wapenzi au waume zao.
Shamsa Ford amewahi kutamba na filamu mbali mbali ikiwepo ‘Bado natafuta’ na ‘Chausiku’.
No comments:
Post a Comment