LAYIII
Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records
Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records
ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima
ya kuwemo katika kitabu hicho kutokana na rekodi zao mbalimbali.
Jose Mourinho ndio ameingia katika headlines kubwa zaidi baada ya kupewa Tuzo za Guinness World Records mara nne, hivyo ana rekodi nne tofauti zitakazo mfanya aandikwe katika kitabu hicho.