LAYIII

Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite, Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band
Ni usiku pia ambao uliudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Moze Iyobo, Lina, Lulu, Tid Mnyama, Q-Chifu, Steve Nyerere na wengine
















Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite, Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band
Ni usiku pia ambao uliudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Moze Iyobo, Lina, Lulu, Tid Mnyama, Q-Chifu, Steve Nyerere na wengine
Na huyu anaitwa Chiba
ndio Dancer wa Yamoto Band ambaye ni mlemavu wa mguu mmoja lakini
aliwashangaza mashabiki kwa kucheza kumuda mrefu bila kushikilia gongo
No comments:
Post a Comment