Saturday 29 August 2015

USIKU WA CHISTIAN BELLA NA YAMOTO BAND ULIVYO KUWA

LAYIII

Screen Shot 2015-08-29 at 4.42.55 PM

Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite,  Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band

Ni usiku pia ambao uliudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu, Aunt Ezekiel, Moze Iyobo, Lina, Lulu, Tid Mnyama, Q-Chifu, Steve Nyerere na wengine
Screen Shot 2015-08-29 at 3.49.45 PM
kwenye Stage ni HK akizungumza wakati na waliohudhuria.

Screen Shot 2015-08-29 at 3.49.59 PM
Young Dee kwenye meza moja na manager wake Hellen Kazimoto
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.05 PM
Yamoto Band wakitoa burudani
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.11 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.16 PM
Hii ilikuwa poa sana jamaaa alipanda kwenye stage na kuonyesha show ya aina yake
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.23 PM
Beka One kutoka Yamato band akiimba kwa hisia
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.29 PM
Na huyu anaitwa Chiba ndio Dancer wa Yamoto Band ambaye ni mlemavu wa mguu mmoja lakini aliwashangaza mashabiki kwa kucheza kumuda mrefu bila kushikilia gongo
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.34 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.40 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.49 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.06 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.00 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.50.55 PM
Petiman, Wema Sepetu na Steve Nyerere wakionyesha kuvutiwa na show
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.11 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 5.13.06 PM
Aunt Ezekiel na Moze Iyobo katia ubora wao
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.16 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.23 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.52 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.43 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.51.33 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.52.40 PM
TID aliposhindwa kujizuia na kuamua kupanda juu ya meza ili acheze
Screen Shot 2015-08-29 at 3.52.48 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 3.52.58 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 4.40.35 PM
Screen Shot 2015-08-29 at 4.40.45 PM

No comments:

Post a Comment

advertise here