Sunday, 13 September 2015

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA ARSENAL VS STOKE NA MAN CITY VS CRYSTAL PALACE

layiii
Baada ya mchezo wa mchana kati ya Chelsea vs Everton, Barclays Premier League imeendelea kutimua vumbi kwenye viwanja tofauti nchini Uingereza.

MATOKEO YA MAN UTD VS LIVERPOOL NIMEKUWEKEA HAPA

layiii
Ule mtanange uliokuwa unasubiriwa kwa hamu baina ya wapinzania wa jadi wa ligi kuu ya Uingereza, vilabu vya Manchester United dhidi ya Liverpool umepigwa usiku huu.

Saturday, 12 September 2015

JINSI SINGLE YA ROMA ILIVYOZUILIWA KUCHEZWA KTK VITUO VYA HABARI

LAYIII 
.
Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini.
Msanii huyo alipokutana na ripota wa millardayo.com aliweza kuelezea sababu

PAMBANO LA KESHO LA FLOYD MAYWEATHER LINAUZA? PROMO HAKUNA? TIKETI JE?

layiii

Pambano la Floyd Mayweather na Manny Pacquiao May 02 2015 lilivunja rekodi nyingi ikiwemo ya mauzo ya Ticket, ticket ziliuzwa kati ya Dola 1,500 na Dola 10,000 lakini ndani ya saa mbili tu ziliuzika zote !!

Thursday, 10 September 2015

DK MAGUFULI AKABIDHIWA FIMBO YA NYERERE

LAYIII

DK MAGUFULI AZURU KABURI LA NYERERE BUTIAMA, AKABIDHIWA KIFIMBO CHA 'NYERERE'‏

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akizuru kaburi la Baba wa Taifa marehemu Julius Nyerere, katika Kijiji cha Mwitongo, wilayani Butiama, Mkoa wa Mara

Tuesday, 8 September 2015

GWAJIMA ATEMA NYONGO AMWANIKA DOKTA SLAA HADHARANI NI KATIKA BZ MORNING YA MAGAZETI YA LEO

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatano Septemba 9,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya

JINSI GWAJIMA ALIVYO MJIBU DOKTA SLAA

LAYIII
Siku chache baada ya aliyekuwa Kiongozi wa Chama cha CHADEMA, Dk. Wilbrod Slaa kutangaza kwamba ameamua kuachana na Siasa, baada ya siku kadhaa kutoonekana kwenye Mikutano pamoja na Viko vya CHADEMA pamoja na Vyama vya UKAWA, stori ambazo zinamtaja yeye bado

TAARIFA KUTOKA OFISI YA TAKWIMU KUHUSU MFUMUKO WA BEI MWEZI AGOST 2015

LAYIII

#RIP mtu mfupi zaidi Duniani, anaefatia kushika rekodi hiyo ??( na millardayo)

layiii
Headlines zilibeba stori kubwa November 13 2014 kuhusu Sultan Kosen, raia wa Uturuki ambae ndio mtu mrefu zaidi Duniani pamoja na Chandra Dangi Raia wa Nepal ambaye alikuwa anashikilia

50 CENT KATIKA HEADLINE TENA ATANGAZA KUISHI KATIKA NYUMBA YAKE ILIYOPO AFRIKA

LAYIII
50 Cent siku zote ni mtu wa masuprise tu mtu wangu, mwezi July rapper huyo alitangaza kuwa amefilisika na idadi ya mali nyingi alizonazo si zake bali ni mali za mkopo, badaae tukasikia kuwa

Monday, 7 September 2015

Magazeti ya Tanzania Septemba 8, 2015.. Udaku, michezo na hardnews ! (na millardayo)

layiii

.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Septemba 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada

HAHAHAHA KWELI UKOMEDI UNAMPELEKA KINGWENDU BUNGENI

LAYIII










Mgombea ubunge wa Jimbo la Kisarawe kupitia Cuf, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ juzi alikuwa kivutio wakati akitambulishwa na mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri, Juma Duni Haji.

Saturday, 5 September 2015

POLICE WAKIMBIA KUMUOKOA MTOTO ALIYEKUA KAFUNGIWA KWENYE GARI

layiii

Team ya polisi huko Oakland, California walipigiwa simu na wananchi baada ya mtoto mchanga kuonekana akiwa kaachwa kwenye gari na madirisha yakiwa yamefungwa. Ili

MATOKEO YA MECHI YA TAIFA STARS VS NIGERIA

layiii
Timu ya taifa ya Tanzania na Nigeria September 5 zimekutana kucheza mechi ya kuwania tiketi ya kufuzu kucheza AFCON 2017, ikiwa ni zaidi ya miaka 20 toka zikutane katika mechi za mashindano. Nigeria inayonolewa na kocha mzawa Sunday Oliseh ndio imecheza mechi ya kwanza

SEX ROSE YA P SQURE NA MR FLAVOUR NI SHIDAAA

LAYIII
Staa wa Nigeria Mr.Flavor amewashirikisha mastaa wawili mapacha wanaounda kundi la P square katika video yake mpya inayoitwa ‘Sexy Rosey’.
Video imeongozwa na Godfather.

FIRST ELEVEN KWA TEAM ZOTE MBILI TAIFA STAR NA NIGERIA

LAYIII

Kabla ya mechi kuanza naomba nikusogezee first eleven ya timu zote mbili. Taifa Stars Vs Nigeria, mechi itakayopigwa muda mchache kuanzia hivi sasa uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.

Thursday, 3 September 2015

CCM, UKAWA SIRI NJE NJE

LAYIII

Siri CCM na UKAWA nje, Mke wa DK.Slaa afichua siri, Magufuli na wazawa wa gesi, Lowassa na ‘Operation Tokomeza? (Audio).

Uchambuzi wa Magazeti @CloudsFM ni sehemu inayokupa habari zote zilizoweka headlines magazetini, kazi yangu ni kukusogezea zile kubwa kubwa kwenye vichwa vya habari…
Siri yafichuka CCM na UKAWA vyama hivyo vimeanzia kampeni nyanda za juu kusini, Mke wa

MOURINHO,RONALDO NA SMALLING WAINGIA KATIKA KITABU CHA GUINNES OF WORLD RECORD

LAYIII

Mourinho, Ronaldo na Smalling wameingia katika kitabu cha Guinness World Records


Baadhi ya wanamichezo duniani akiwemo Jose Mourinho, Frank Lampard na Cristiano Ronaldo wameingia katika kitabu cha kipya cha Guinness World Records ambacho toleo jipya litatoka Septemba 10, Mastaa hao wamepewa heshima ya kuwemo katika kitabu hicho kutokana na rekodi zao mbalimbali.
2BEFB75200000578-0-image-m-34_1441321383669
Jose Mourinho ndio ameingia katika headlines kubwa zaidi baada ya kupewa Tuzo za Guinness World Records mara nne, hivyo ana rekodi nne tofauti zitakazo mfanya aandikwe katika kitabu hicho.

TOTTENHAM WAPATA PIGO DHIDI YA UWAMZI WAO KWA EMMANUEL ADEBAYOR

LAYIII

Mshambuliaji wa kimataifa wa Togo na klabu ya Tottenham Hotspur Emmanuel Adebayor, ambaye kabla ya dirisha la usajili kufungwa alikuwa akihusishwa kujiunga na klabu ya West Ham United ya Uingereza kwa asilimia kubwa. Moja kati ya wachezaji ambao tulikuwa tukitarajia kuona

bzmorning tanzania, Magazeti ya Tanzania Septemba 4, 2015.. Udaku, michezo na hardnews na (millardayo)

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Septemba 4,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines

Askofu Gwajima amemjibu Dr Slaa

LAYIII
Askofu Josephat Gwajima amejibu tuhuma zilizoelekezwa kwake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa kuwa alishiriki kama ‘mshenga’ kumshawishi mwanasiasa huyo kumpokea Edward Lowassa katika chama hicho.

HEKA HEKA UNYAMA ALIO TAKA KUFANYIWA MSICHANA WA KAZI HUKO OMAN

LAYIII

Baada ya Hekaheka ya binti wa kazi aitwaye Sada kupelekwa Oman kufanya kazi za ndani na kufanyiwa unyama na wenyeji wake kias chakurudi akiwa hawezi kuzungumza wala kusikia, leo Wizara ya Mambo ya nje kupitia kwa Naibu Katibu Mkuu Simba Yahya amezungumza.

UGENI MPYA NYUMBANI KWA MR BLUE

LAYIII
Msanii wa muziki wa Bongo Flava Mr Blue ana asbabu kubwa sana ya kufurahia siku hii ya leo, dakika chache zilizopita Mr Blue ameshare na sisi furaha yake kubwa ya kumkaribisha mtoto wake

Wednesday, 2 September 2015

BILIONEA ROSTAM AZIZI AMUUMBUA DOKTA SLAA,ASEMA NI PADRI MUONGO WA KUPINDUKIA

layiii
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akisalimiana kwa kumbatiana na Mfanyabiashara maarufu nchini, Rostam Azizi 
ambaye pia ni mmoja wa wamiliki wa vyombo vya habari

Monday, 31 August 2015

MTOTO WA MCHEZAJI BORA DUNIANI KUTOKEA BRAZIL AMENIUNGA NA CLUB YA URENO

LAYIII

Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya

LIVERPOOL YAMSAJIRI MSHAMBULIAJI KUTOKA NIGERIA

LAYIII
Klabu ya Liverpool ya Uingereza haiko nyuma na yenyewe kumalizia masaa ya usajili yaliosalia vizuri, kila klabu ina angaika ili iweze kusajili mchezaji iliyekuwa inamtaka kwa muda mrefu au

SHUDIA MWANAMKE MREMBO ANAVYOIBA NA KILICHOENDELEA WALITEGESHA KAMELA

LAYIII
Jamaa wametegesha video camera sehemu alafu wakatafuta Mwanamke mrembo ajifanye mwizi wa kuchomolea watu mfukoni, hii imetokea Marekani lakini najua kama wangetegesha

HAWA NDIO WATOTO WA MASTAA WENYE USHAWISHI MKUBWA SANA MTU WANGU

LAYIII
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na ushawishi mkubwa ndani ya jamii zinazowazunguka, mbali ya kupata mikata minono ya kutangaza bidhaa mbalimbali pia wamekuwa wakizungumziwa hasa katika mitandao ya kijamii.

CHEZA KWA MADOIDO YA YAMOTO BAND IPO HEWANI SASA

LAYIII
Yamoto Band walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya ‘Cheza kwa Madoido’ chini ya Mtayarishaji GodFather.

DK SLAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NI NINI KINAENDELEA KUWA NAMI HAPO CHINI

LAYIII
Ni kweli katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa amekua kimya toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMA akitokea CCM lakini August 31 2015 kituo cha TV cha STAR TV kimetangaza kuhusu Dr. Slaa kwamba atazungumza kwa mara ya

SHERIA YA MITANDAO YAANZA KAZI RASMI

LAYIII
Huu ndio utakua mwisho wa makosa ya kimtandao Tanzania??? sababu sheria hii imepitishwa na kuanza kutumika leo mahususi kwa wote wanaotumia vibaya mtandao.

HUYU NDO MWANAMKE ANAYE TAKA KUWA RAIS WA TANZANIA

LAYIII
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 zimeshaanza tayari na tumewaona Wanasiasa mbalimbali wakisimama mbele ya Watanzania kutumia time yao kuwashawishi wapate zile

DAKTARI WA DIAMOND ATAFIA STUDIO

LAYIII
Musa Mateja na Gabriel Ng’osha
YAMEKUWA hayo! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anahofiwa kufia studio kutokana na kufanya kazi kwa muda mrefu pasipo kupumzika

KAMA HUKUJUA HAWA NI WATAYARISHAJI, NI WAIMBAJI

LAYIII

Mwimbaji na Mtayar-ishaji wa Studio ya Sharobaro, Bob Junior.
PAMOJA na kufanya kazi ya kutayarisha ngoma kali za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva lakini

UGOMVI WA YOUNG KILLER NA EDO BOY WAZUA MENGINE

LAYIII
Wiki iliyopita Soudy Brown alizungumzia ugomvi wa Edo Boy na Young Killer hadi kupelekana Polisi, leo tena unaendelea.
Baada ya Edo Boy wiki iliyopita kugoma kuzungumza, leo amezungumza na kusema ni kweli alikua

KUTANA NA WASHINDI WA TUZO ZA MTV VMA’s 2015

LAYIII
Jumapili ya tarehe 30 August 2015 ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zilichukua headlines kubwa sana jijini Los Angeles Marekani.

KANYE WEST RAIS WA MAEKANI MWAKA 2020 KUFUATIA KUTANGAZA KWAKE NIA

LAYIII
Kanye West na Kim Kadarshian walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo za MTV Video Music Awards 2015… na siku zote watu wamezoea kupokea vituko kutoka kwa Kanye viwe vya kufurahisha ama kusikitisha usiku hauwezi kuisha bila kumsikia Kanye West.

Sunday, 30 August 2015

BINADAMU WA AJABU ANAYEFANYA KAZI NYINGI KWA MASAA

LAYIII
KUMBUKA HII IMEKAA KIUDAKU ZAIDI NOT PROVE ZEN LETS GET TOTHE POINT OK
 ......MAAJABU YA DUNIA.....
Huyu ndie binadamu wa hatari zaidi na mwenye maajabu Duniani na anasifa kuu 7.
1:Anauwezo wa kufanya kazi kwa wiki bila kula.
2:hakuzaliwa na Mama,bali alizaliwa na Baba.
3:Anauwezo wa kutabiri ya kesho nayakawa sawia.
4:Anaongea zaidi ya lugha zipatazo 10,000.
5:Anaweza kutembea umbali mlefu bila kupumzika.
6:Hakuwahi kunyonya maziwa kwa mama wala ya mnyama.
7:Alizaliwa anajuwa kuongea,pindi alipokuwa na umri wa siku 3.
NINI MTAZAMO WAKO KWA KIUMBE HUYU.


HUU NDIO UFUNGUZI WA KAMPENI ZA ACT CHINI YA KIONGOZI WAO MKUU ZITO KABWE

LAYIII

Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo

MAGUFULI KAKANA KULAZWA ICU,SUMAYE ALIPUKA, RICHIMOND.........KUHUSU MWAKYEMBE



MWANANCHI
Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

Saturday, 29 August 2015

KAMA UMEPITWA NA HOTUBA YA UKAWA HII HAPA

LAYIII
Tukiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani August 23 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za kunadi sera zao na ilani ya chama chao utaratibu huo

USIKU WA CHISTIAN BELLA NA YAMOTO BAND ULIVYO KUWA

LAYIII

Screen Shot 2015-08-29 at 4.42.55 PM

Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite,  Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band

NIMEKUWEKEA PICHA ZA AWALI HUKO JANGWANI MTU WANGU

LAYIII

Friday, 28 August 2015

MAN U YAKAMILISHA USAJILI WA KEVIN

LAYIIII
Kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani Klaus Allofs amethibitisha kwa mshambuliaji wa zamani wa Chelsea kurudi katika Ligi Kuu Uingereza. Klaus Allofs amethibitisha kuwa klabu ya Wolfsburg imeridhia kumuachia Kevin De Bruyne ajiunge na klabu ya Manchester City.
De-Bruyne-main
De Bruyne akipiga picha na mashabiki wakati akiwa njiani kuelekea Manchester usiku wa August 28
Kevin De Bruyne atakuwa anarejea katika Ligi Kuu Uingereza ikiwa ni miezi 18 imepita

BZMORNING TANZANIA HAYA NDO MAGAZETI YA LEO 29/08/2015

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 28,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,

advertise here