Thursday, 2 July 2015

MTAZAMO WA YEMI ALADE KUHUSU WASANII WA MZIKI KUPEANASUPPORT UTACHEKA UPASUKE

LAYIII

blackup-for-Yemi-Alade-Look-1
Yemi Alade ni msanii maarufu kutoka Nigeria ambaye alitamba sana na ngoma yake Johnny. Nimekutana na interview moja aliofanya msanii huyu jijini Lagos, aliulizwa maswali mengi lakini moja kubwa lilikuwa linahusu hali ya wasanii kupeana support kwenye muziki.
iiihib
Yemi Alade alikuwa na haya ya kusema.
>>> “siwezi kuzungumza kwa niaba ya kila mtu so nitaongea kulingana na mtazamo wangu, kwa mimi binafsi nahisi kwenye industry wanaume wanapeana support zaidi kuliko wanawake, sijui kwa nini ila naona hii ndio hali halisi kwa hapa kwetu.” 

ETI TAIFA STAR HAWAJUI KIINGELEZA SI JAMAA KANYOOSHA MKONO HAHAHA MSIKIE MWENYEWE

LAYIIII
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya ‘Taifa Stars’  kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa MSIKIE MWENYEWE HAPA MTU WANGU kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’  Mart Nooi.

Eti wachezaji wa Taifa Stars walikuwa hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro kanyoosha mkono

.
.

UJUE USHINDI WA RAIS KENYATA KWA MARA NYINGINE MTU WANGU

LAYIII
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.
Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame wa Rwanda alikuwa akishikilia nafasi hiyo.

Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..

enjoy
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015.

MCHEKI WANAFUNZI ALIYE INGIA KATIKA JENEZA KUSUPRISE JAMAA ZAKEKTK GRADUATION YAKE

LAYIII
Niliwahi kukuletea stori ya bibi harusi kuamua kufanya surprise kwa mume wake pamoja na wageni waalikwa siku ya harusi, akajipanga na kuingia zake Ukumbini akiwa ndani ya jeneza.. lengo lake ilikuwa afanye tu kitu tofauti na kuvunja rekodi yake mwenyewe.
cof


Mwanafunzi kaona aingie na jeneza k

MCHEKI MESSI ALIVO WATOKA MABEKI KATIKA KIPANDE HIKI CHA VIDEO

LAYIII
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.

Kama unaamini ukali wa Lionel Messi, cheki hapa ‘alivyowatoka’ mabeki wawili wakaangukiana.. (Video)

lionel-messi-world-player-soccer-lionel-messi-feature4 (1)
Copa America ndio story nyingine kubwa kwenye soka Duniani kwa sasa, imechezwa tayari mechi ya Argentina VS Paraguay… matokeo ilikuwa Argentina kushinda goli 6-1, lakini kilichonivutia ni hiki hapa.
Lionel
Japo Cristiano Ronaldo anatajwa kuwa ndio mchezaji wa soka mkali kabisa Duniani na ana Tuzo yake ya Ballon d’Or kwa mara tatu mfululizo, wapo wanaoamini Lionel Messi ndio mkali zaidi !!
Nina hivi vipisi vya video vinavyoonesha ukali mwingine wa Lionel Messi akiwa Uwanjani, play uone wachezaji wawili walivyoachwa kwenye mataa mtu wangu!!
Video Player

Video Player

 

FROM JELA HADI MTAANI MCHEKI RICK ROSS HAPA AKITOKA JELA

LAYIII
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.

Rick-Ross-court
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili.
July 01 2015 kapandishwa Mahakamani, Georgia Marekani.. Kesi ikasomwa na milango

NIMEKUWEKEA VIDEO YA MGOGORO WA BUNGENI LEO HAPA CHINI

LAYIII

Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015

Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo.
Tumekabidhiwa orodha ya shughuli za leo.. kimsingi imekiuka kanuni, uamuzi wa kuileta hii miswada mitatu kwa pamoja kama hati ya dharura umekiuka kabisa msingi wa makubaliano ya kwenye Semina ambapo Wabunge kwa kauli moja tulikataa Miswada hii isiletwe kwa hati ya dharura
Mbunge John Mnyika.
Naomba Mwongozo, hili jambo linahitaji majibu sasa” >>> Mbunge John Mnyika.
Spika Makinda akaanza kutoa ufafanuzi kuhusu hiyo ishu >>> “Toa kwanza maneno ya kuniamrisha mimi cha kufanya… Hakuna mtu anayeweza kuniamrisha” >>> Anne Makinda.

 



JANUARY MAKAMBA KAJIBU HAYA KUHUSU WIZI WA MUDA WA HEWANI

LAYIIII
Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, hii ishu imewagusa Wabunge… Alianza Mbunge kwa kuuliza swali kwamba nini kinafanyika kuzuia wizi wa aina hiyo.
Kumekuwa na malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba wanapoteza pesa kujiunga na vifurushi ama wanaponunua vocha… Serikali itachukua hatua gani kudhibiti Makampuni ya simu ambayo yanafanya wizi kwa wananchi” >>> Mbunge Murtaza Mangungu.
Kumekuwa na udhaifu mkubwa kwa upande wa TCRA kwenye kufuatilia malalamiko ya watu pale ambapo wanadhurumiwa, watu wanatoa malalamiko kwa Makampuni ya simu lakini hakuna  hatua zinazochukuliwa” >> January Makamba.
unnamed (2)
Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia, January Makamba.
Serikali imetoa onyo kwa TCRA kwamba tunataka hatua zianze kuchukuliwa na namna mpya ikiwemo kuhakikisha kwamba kuna kituo ambacho kipo saa zote kwa ajili ya kupokea simu na malalamiko ya watu na ni rahisi kituo hicho kufikika na watu wanahakikishiwa majibu, malalamiko yasiposhughulikiwa ndani ya saa 48 hatua za Kisheria zinachukuliwa kwa makampuni ya simu” >>> Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba.

ICHEKI VIDEO YA BIG SEAN NA STYLE YAKE MPYA HAPA MTU WANGU

LAYIII


Big Sean amekuja na style tofauti kwenye video yake mpya: FOCUS (Vlog)!

NIMEKUWEKEA KIPANDE CHA VIDEO MPYA YA RAY J NA LIL WYNE HAPA

LAYIII


Baada ya kimya kingi Ray J arudi na video mpya Brown Sugar , pembeni Lil Wayne!

DAVIDO KAPOST PICHA ZAKE AKIWA NA DIAMOND MTV BASE KTK PAGE YAKE YA INSTOGRAM.....ONA COMMENT ZAKE MTUWANGU

LAYIII
Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..

Davido amepost picha yake na Diamond, kaandika na haya maneno kuhusu #MTVMAMA2015..

Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya love!!
Saa chache zilizopita kaweka post nyingine kwenye ukurasa wake @Facebook, amepost picha yake na Diamond iliyopigwa wakati wana perform kwenye Tuzo za MTV ..
PERFORMING AGAIN LIKE THIS AT ‪#‎MTVMAMA2015‬ !! TOO MUCH BLESSINGS…” >>> @IamDavido
11694958_403436209857010_4888931845749158669_n

 



Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2

layiii
MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.
Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa hisia, alisema hayo jana mara baada ya kurejesha fomu ya kuwania kuteuliwa na CCM kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25.

Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2

HM
MWANANCHI
Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo.

MAJIBU YA LOWASA KUHUSU KUITWA FISADI NIMEKUWEKEA AUDIO HAPA

LAYIII
Kwenye headlines kubwa Magazetini kuna hizi stori ambazo nimekusogezea baada ya kuchambuliwa redioni June 02 2015.
Makada wa CCM wameendelea kurudisha fomu za Urais na leo ndio siku ya mwisho, Lowassa amesema amechoshwa na wanaomwita Fisadi.. kingine ni kuhusu ishu ya ushirikina Wilaya ya Mwibala, mtu mmoja ameuawa akituhumiwa kuwafanyia ushirikina  Walimu.

Wanaomwita Lowassa fisadi? mwisho wa kurudisha fomu CCM? Matokeo ya Mitihani TZ kwa simu?.. #PBCloudsFM

BZMORNING KUTANA NA MAGAZETI YA LEO TAREHE 2/7/2015

layiii
.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Wednesday, 1 July 2015

Watanzania waliopewa tuzo na malkia wa Uingereza ndio hawa wamerudi Tanzania

layii

.
.
Stori ninayotaka kukusogezea sasa hivi ni hii kuhusu vijana wawili kutokea Tanzania (Given Edward & Angel Benedicto) ambao wiki iliyopita walikabidhiwa tuzo na malkia wa Uingereza kutokana na

Ratiba kamili ya michuano ya Kagame Cup 2015 niko nayo hapa…

LAYIII
kick
Michuano ya kimataifa kwa nchi za Afrika Mashariki na kati ya kombe la Kagame itaanza Jula1 18 kwenye uwanja wa Taifa, Dar es saam.

MAISHA CLUB MPYA YA DAR YAFIKIA HAPA

LAYIII
millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.
Nimepita Kijitonyama kuangalia ujenzi umefikia wapi mpaka sasa hivi… hapa ninazo picha 11

Ujenzi wa Maisha Club mpya Dar es Salaam umefikia hapa (Pichaz)

Screen Shot 2015-07-01 at 2.13.35 PM

millardayo.com ilikusogezea pichaz pamoja story ya kuhamishwa kwa Maisha Club kutoka Masaki kusogezwa Kijitonyama Dar es Salaam.

AJARI YA BASI NA TRENI MOROGORO MAJERUHI NA WALIYO KUFA NIFATE HAPA MTU WANGU

LAYIII
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.

Ajali ya Treni na basi la abiria Morogoro, kuna majeruhi na waliofariki.. #RIP

.
.
Stori kubwa kutoka Morogoro leo July 01 2015 inahusu ajali ya basi aina ya Isuzu lililokuwa limepakia abiria ambalo limegongana na treni katikati ya Stesheni ya Kimamba na Kilosa.

Liverpool yakamilisha usajili wa mchezaji wa sita leo hii.

LAYIII
Dirisha la usajili wa kipindi cha kiangazi limefunguliwa leo rasmi na klabu ya Liverpool imetangaza kukamilisha usajili wa mchezaji mwingine baada ya Firmino wiki iliyopita.
wiki iliyopita. 
 Liverpool wamemsaini Nathaniel Clyne kutoka Southampton kwa ada ya uhamisho ya £12.5m, na mchezaji huyo leo amesaini mkataba wa miaka 5.
“Nina furaha kutimiza ndoto yangu ya kuja hapa Anfield kuitumikia klabu kubwa kama hii,” Clyne aliuambia mtandao wa Liverpool.
“Mara tu baada ya Liverpool kuonyesha kunihitaji, Nilifurahia na nikapenda uhamisho huo ukamilike haraka.”
 
Clyne, ambaye alikuwa amebakisha mwaka mmoja katika mkataba wake na Southampton, sasa anakuwa mchezaji wa sita kusajiliwa na Liverpool.

NUSU NUSU YA JOMAKINI SASA IKO JUU KATIKA MTV BASE

LAYIII

GoodNews ni hapa ilipofikia #NusuNusu ya Joh Makini kwenye Chati ya MTV Base.. (Video)
 Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye  ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV  Base.

eeeeeee
.
Rapper kutokea kundi la Weusi, Joh Makini anazidi kupanda chart baada ya video ya wimbo wake ‘Nusu Nusu‘ aliyomshirikisha G Nako kushika namba moja kwa sasa kwenye  ‘Official African Chart‘ ya Kituo cha Television cha MTV  Base.

MSAFARA WA LOWASSA ULIVO ZUILIWA MOROGORO

LAYIII
MSAFARA WA LOWASA WAZUIWA GAIRO MOROGORO... WANAKIJIJI WATAKA JAPO WAMSALIMIE 


Msafara wa Lowasa wazuiliwa huko Gairo leo wakiwa wanaelekea Dodoma kwa kile wanachokiita Mvuto wa kiongozi . Hivyo wananchi wapenda maendeleo walitaka japo kumsalimia tu..

WATU WANGU WA MIELEKA ROCK KAWEKA WAZI SABABU ZA KUUACHA MCHEZO HUO

LAYIII ON SPOT
Dwayne  Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action HollywoodMarekani.

The Rock ameweka wazi sababu za yeye kuacha mchezo wa mieleka…

tr
Dwayne  Johnson maarufu kama The Rock ni mwigizaji, movie producer na mchezaji mieleka kutoka Marekani aliejitengenezea jina kubwa kwenye mieleka na kufanya apate shavu kubwa kwenye movie za action HollywoodMarekani.

ICHEKI ILE GARI AMAIZING MTU WANGU

LAYIII
Katika magari yaliyo nifurahisha leo basi na hili moja wapo huna haja ya kuwa na boti

Ni pesa yako tu! utanunua hata hili gari linalotembea barabarani na juu ya maji baharini.

GARI LA MAJININi dunia yenye vitu vingi na ubunifu mwingi kwenye kila kona ya kitu unachokijua, yaani kuna watu kila siku wanaumiza vichwa kutengeneza pesa kwa njia ya kiubunifu zaidi ambapo hii ya magari yanayoweza kutembea juu ya maji ni mojawapo.

#MAGAZETINI JULY1..Maiti yatoa jasho na kutikisika, Bei ya Petrol haishikiki na kidato cha 5 wakosa nafasi.

LAYIII

HIGHMTANZANIA
Hali ya sintofahamu imeibuka katika eneo la Magomeni, Wilaya ya Bagamoyo baada ya mwili wa marehemu Hatujuani Shaaban kushindikana kuzikwa kutokana na ndugu zake kudai ulikuwa ukitokwa jasho, kutingisha miguu, kichwa na mikono wakati ukitayarishwa kwa maziko.
Kutokana na hali hiyo mwili huo ambao ulikuwa uzikwe jumapili uliachwa hadi jana baada ya daktari kuitwa na kuishauri familia, ndipo zoezi la mazishi likafanyika.

HEADLINE KATIKA MAGAZETI YA LEO 01/07/2015

LAYIII
.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

MJUE MCHEZAJI ALIYE SABABISHA WAANDISHI WA HABARI KUJAA YANGA

LAYIII
Baada ya Uongozi wa Klabu ya Kimondo inayoshiriki ligi daraja la kwanza kudai mshambuliaji GEOFREY MWASHIUYA ni mali yao, Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo baada ya kukamilisha usajili wake.

Mchezaji aliyetokea ligi daraja la kwanza na kufanya Yanga iwaite Waandishi wa habari

SportsBaada ya Uongozi wa Klabu ya Kimondo inayoshiriki ligi daraja la kwanza kudai mshambuliaji GEOFREY MWASHIUYA ni mali yao, Yanga imemtambulisha rasmi mshambuliaji huyo baada ya kukamilisha

Tuesday, 30 June 2015

TUZO BET LAWAMA KIBAO

LAYIII
Siku hizi mbili zimekua na mfululizo wa baadhi ya Wasanii wa Afrika akiwemo Mghana FUSE ODG na Wanigeria Wizkid na Yemi Alade kuonyesha walivyokasirishwa na kituo cha TV cha BET cha Marekani kuwatenga Wasanii wa Afrika na wa Marekani kwa kutoa tuzo za Afrika asubuhi bila shamrashamra huku za kina Beyonce zikitolewa jioni.

50Siku hizi mbili zimekua na mfululizo wa baadhi ya Wasanii wa Afrika akiwemo Mghana FUSE ODG na Wanigeria Wizkid na Yemi Alade kuonyesha walivyokasirishwa na kituo cha TV cha BET cha Marekani kuwatenga Wasanii wa Afrika na wa Marekani kwa kutoa tuzo za Afrika asubuhi bila shamrashamra huku za kina Beyonce zikitolewa jioni.

JINSI MNYIKA ALIVYO IPAISHA ISSUE YA MAFUTA BUNGENI

LAYIII
Kwenye Kikao cha Bunge jana JUNE 29 2015 Naibu Spika Job Ndugai alimwomba Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage atoe ufafanuzi kuhusu ujumbe uliosambazwa kwa message na Mitandaoni kwamba kuna mgomo wa kuuza mafuta ya petroli na dizeli.

Kuna mgomo wa kuuza mafuta Tanzania? Mbunge John Mnyika kairudisha hii tena Bungeni.. (Audio)

IMG_1259 Kwenye Kikao cha Bunge jana JUNE 29 2015 Naibu Spika Job Ndugai alimwomba Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage atoe ufafanuzi kuhusu ujumbe uliosambazwa kwa message na Mitandaoni kwamba kuna mgomo wa kuuza mafuta ya petroli na dizeli.

YAJUE MANENO YA SALAMA JABIR JUU YA KIBA NA DIAMOND

LAYIII
Upinzani unaoendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba unaofanywa  na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii umepelekea mtangazaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir na muimbaji mkongwe wa Hip Hop  Solo Thang kushindwa kuvumilia na kuamua kuyatoa ya moyoni.

Salama Jabir na Solo Thang wameyasema haya yawafikie mashabiki wa Ali Kiba na Diamond

.
.
Upinzani unaoendelea kati ya Diamond Platnumz na Ali Kiba unaofanywa  na mashabiki kwenye mitandao ya kijamii umepelekea mtangazaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir na muimbaji mkongwe wa Hip Hop  Solo Thang kushindwa kuvumilia na kuamua kuyatoa ya moyoni.

KAMA UMEMISI KULIONA GHARI LA SOLA ALOTENGENEZA MWANAFUNZI MNAIJELIA HILI HAPA

LAYIII
 Ni lini wanafunzi wa tanzania watabuni vitu vyao na kuvifanyia kazi na je ni lini wanafunzi hao watakuza vipaji vyao kwa kufanya mambo ya mshangao duniani
cheki mwanachuo huyo

A student from the Obagemi Awolowo University, in Nigeria, has turned his gas-grid VW Beetle into a fully solar and wind powered car, leaving many wondering how he did it.
Segun Oyeyiola said his friends ridiculed him when he had the idea. He said his friends said it was not possible to create such a car. Now, not only has he done it, scientists and engineers are stunned at how he was able to turn the car into such a clean-energy vehicle.
According to Oyeyiola, he spent $6,000 to be able to transform the vehicle into the clean energy car it is today. He has installed a wind turbine in the hood and a giant solar panel on the roof with rechargeable solar batteries.
Oyeyiola said what motivated him to pursue this dream of getting a car that can run on renewable energy is to save the environment from pollution by fuel and gas engines.
Nigeria: Watch The VW Beetle Which Runs Completely On Solar and Wind Power [VIDEO]
“I wanted to reduce carbon dioxide emission going to our atmosphere that leads to climate change or global warming which has become a new reality, with deleterious effect: seasonal cycles are disrupted, as are ecosystems; and agriculture, water needs and supply, and food production are all adversely affected. Therefore, I came up of building a car that will use both winds and solar energy for its movement. This was my personal project because of the problem I’m planning to solve,” he

KATIKA HEADLINE LEO NI KUHUSU MAREHEMU ALIYE FUFUKA HUKO BAGAMOYO

LAYIII
Jana mji wa Bagamoyo uliingia katika taharuki kubwa baada ya habari kuenea kuwa kuna marehemu kafufuka baada ya kuthibitishwa na madaktari kuwa amefariki.
Timu ya Hekaheka ilifunga safari hadi Bagamoyo na kukuta umati wa watu katika nyumba ambayo marehemu alikua akiishi ikiwa ni muda mchache baada ya mwili wake kurejea kutoka hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ambapo ndipo alipofariki.

Utata wa marehemu kufufuka Bagamoyo upo kwenye Hekaheka ya leo…(Audio)

ripJana mji wa Bagamoyo uliingia katika taharuki kubwa baada ya habari kuenea kuwa kuna marehemu kafufuka baada ya kuthibitishwa na madaktari kuwa amefariki.
Timu ya Hekaheka ilifunga safari hadi Bagamoyo na kukuta umati wa watu katika nyumba ambayo marehemu alikua akiishi ikiwa ni muda mchache baada ya mwili wake kurejea kutoka hospitali ya Wilaya ya Bagamoyo ambapo ndipo alipofariki.

KAMA HUKUONA USAJIRI WA YANGA NIMEKULETEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
Countdown ya story za Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza mdogomdogo mtu wangu, tunasubiri August 2015 ili tuzione Timu zote kali zikitoana jasho kwenye viwanja tofauti vya Soka TZ

Yanga wamesajili hawa wawili leo, mmoja toka Ghana na mwingine toka Zimbabwe… (Pichaz)

YANGA
Countdown ya story za Ligi Kuu Tanzania Bara imeanza mdogomdogo mtu wangu, tunasubiri August 2015 ili tuzione Timu zote kali zikitoana jasho kwenye viwanja tofauti vya Soka TZ.
Magazeti ya Michezo TZ yana story nyingi, zipo Timu zilizoleta makocha wapya kwa ajili ya kujiandaa na ligi hiyo, wapo waliosajili wachezaji pia.. nimepita kwenye ukurasa wa Yanga na kukutana na story kwamba nao wameongeza vifaa vyao viwili, mmoja wao anatoka Zimbabwe na mwingine anatoka Ghana.
Mpaka sasa hawajatoa majina ya Wachezaji hao ila hizo ndio post zenye pichaz za Wachezaji hao wakisaini Mikataba yao na Klabu ya Yanga.
mchezaji kutoka ghana akisain kandarasi ya yanga leo hii tumeingia nae mkataba kama mchezaji wa @yangasc
@yanga_tv 
@erictz 
@mmarumbo


 


KAMA HUKUONA USAJIRI WA YANGA NIMEKULETEA HAPA MTU WANGU

ICHEKI KEJERI YA MUGABE KWA OBAMA

LAYIII
Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo.

Maneno ya utani ya Rais Mugabe kwa Obama baada ya kuruhusu ndoa ya jinsia moja…

mugabe
Ndani ya wiki moja baada ya Serikali ya Marekani kupitisha Sheria ya kuruhusu Ndoa za jinsia moja kwa raia wake kumekuwepo na maoni mbalimbali kutoka kwa watu kuhusiana na maamuzi hayo.

RAMOS KAFANYA UAMUZI HUU BAADA YA MADRID KUGOMA OFA YA MAN U

LAYIII
Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake.

Baada ya Madrid kuikataa Ofa ya Man Utd, Ramos amefanya uamuzi huu

Wiki moja baada ya ofa ya kwanza ya Manchester United kumsajili Sergio Ramos kukataliwa na Real Madrid, hatimaye mchezaji huyo ambaye yupo mapumzikoni ametoa kauli yake.
United walituma ofa ya kwanza ya paundi millioni 28.3 kwa Madrid ili kupata saini ya beki huyo wa kimataifa wa Spain, lakini Madrid waliikata ofa hiyo.

NIMEKUWEKEA HAPA ILE VIDEO YA NAVIO FT MR BLUE MTU WANGU

LAYIIII


OYOOOOOOOO MTU WANGU UMESUBIRI SANA CHEKETUA YA ALIKIBA HII HAPA MTU WANGU

LAYIII

Ali KZilipita pichaz na vipisi tu lakini hii ndio video kamili ya Ali Kibachekecha‘ ambayo imefanywa South Africa wiki kadhaa zilizopita… ukishaitazama uache maoni yako kwenye comment Ali Kiba na team yake watapita kuona nini mashabiki wanasema.


Arsenal yampa Cech mkataba miaka minne

LAYIII
Hatimaye yametimia kwa Arsenal kupata saini ya mlinda mlango Petr Cech kutoka Chelsea kwa kitita cha pauni milioni kumi.
Mlinda mlango huyo wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Czech, ambaye amecheza zaidi ya mechi 400 katika misimu 11 akiwa na timu ya Chelsea, amejiunga na Arsenal the Gunners kwa mkataba wa miaka minne.
Cech, mwenye umri wa miaka 33, alicheza mechi saba tu msimu uliopita baada ya nafasi yake kunyakuliwa na mlinda mlango kutoka Ubelgiji Thibaut Courtois.
Cech amesema alifikiri angestaafia Stamford Bridge, alakini ameongeza kusema: "Maisha daima hayawi vile unavyofikiria yakawa."
Ameandika: "Msimu ulioopita wa kiangazi, mambo yalibadilika na nikaelewa kuwa sikuwa mlinda mlango chaguo la kwanza, lakini nilifikiria haukuwa wakati mzuri kwangu kuondoka.
"Wakati wa msimu huo, ilieleweka wazi kuwa hali yangu isingebadilika na kama ninavyofahamu siko katika kazi yangu ambapo nastahili kuwa- Niliamua kuondoka na kutafuta changamoto mpya."
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger anasema: "Petr Cech ni mchezaji ambaye nimemtamani kwa muda mrefu na nimefurahi sana ameamua kujiunga nasi."
Cech, alijiunga na Chelsea akitokea klabu ya Rennes ya Ufaransa Julai 2004 na kushinda makombe 13 akiwa na Chelsea - likiwemo kombe moja la klabu bingwa na mataji manne ya ubingwa wa ligi kuu ya England.

Monday, 29 June 2015

LINI TANZANIA ITAZINDUA KITU CHAKE AMIZING ........ HEMBU CHEKI VITU GHANA MTU WANGU

LAYIII


Ghana yazindua gari lake

Wakati unapoangazia swala la utengezaji magari mataifa ya Afrika kwa kawaida hayaorodheshwi katika swala hilo.

ZIJUE STORY KUBWA LEO TANZANIA

LAYIII
Good morning mtu wa nguvu !! Kila siku asubuhi huwa ninakuwekea karibu Uchambuzi wa Stori kutoka kwenye Magazeti yote ya Tanzania baada ya kurekodi kutoka kwenye show ya #PowerBreakfast @CloudsFM… kilichosikika leo ninacho pia, stori ni hizi hapa;

Stori Kubwa June 30 2015 >>>Ishu ya Mafuta TZ, uandikishaji BVR Dar na Pwani, Mzee Mkapa na Mwinyi na Urais CCM..

BRT-curb-traffic-jams-Dar-es-Salaam
Good morning mtu wa nguvu !! Kila siku asubuhi huwa ninakuwekea karibu Uchambuzi wa Stori

KATIKA BZMORNING NIMEKUWEKEA MAGAZETI YA LEO 30/06/2015

LAYIII
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa kwenye kurasa za mwanzo na mwisho.

Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JUNE 30, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa WWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya

DIAMOND ATAITIWA AIRPORT KWA MUDA WA MASAA KADHAA>>KISA NA MKASA SOMA HAPA

LAYIII
 3
 KIBANO! Staa wa Bongo Fleva mwenye jina kubwa Afrika, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, juzikati alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya ‘kutaitiwa’ kwa saa mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kisa kikiwa wingi wa mabegi (3) makubwa aliyoshuka nayo akitokea nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’, Ijumaa Wikienda linakupa ‘unyunyuz’ kamili.


 <<<KAJALA & MC PILIPILI  MAMBO HADHARANI>>>

1Staa wa Bongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa ametaharuki.

MAFURIKO SIYO TANZANIA TU HATA CHINA YAMEJAA HEMBU CHIKI HAPA

LAYIII
 May 2015 ulikuwa mwezi ambao tulishuhudia maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha mfululizo Dar… mara nyingi hivi vitu vikitokea huku kwetu watu hawaamini kama hata nje ya TZ nako huwa vitu vinatokea hivyohivo.

Kama ulidhani noma ya mafuriko ni Tanzania pekeake, angalia picha 10 kilichotokea China..

d43d7e14d47316fadabd07
May 2015 ulikuwa mwezi ambao tulishuhudia maafa yaliyotokana na mvua kubwa zilizonyesha mfululizo Dar… mara nyingi hivi vitu vikitokea huku kwetu watu hawaamini kama hata nje ya TZ nako huwa vitu vinatokea hivyohivo.
Mafuriko yametokea China, hapa unaweza kuona kwenye picha hali ilivyokuwa baada ya balaa la mafuriko kuwakuta.
d43d7e14d47316faf2e232
Hivi ndio ilivyokuwa kwenye Chuo kilichopo Nanjing, Jimbo la Jiangsu ndani ya China… Watu zaidi ya 65,000 wameathirika kutokana na mvua hizo.

NUNGU NUNGU MWACHE KA ALIVO USIPAPALIKE KUMMEZA MCHEKI CHATU HUYUU

LAYIII
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.

Njaa ikamfanya chatu kula Nungunungu na miba yote aliyonayo, kilichofuatia je?

python-alive
Ndani ya hifadhi ya Eland Game Reserve iliyoko KwaZulu-Natal, South Africa mwendesha baskeli alikatisha siku ya June 14 2015, akakutana na chatu mkubwa mzima kabisa aliyeonekana kama amekula na kushiba kupita kiasi… akampiga picha na kushare na watu wake mitandaoni.

ULIMISI KUONA MAPOKEZI YA STEVE NYERERE KATIKA HARAKATI ZA KUGOMBEA UBUNGE NIMEKUWEKEA HAPA MTU WANGU

LAYIII
Kwenye list ya mastaa wa TZ waliotangaza kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi wa 2015 lipo pia jina la mastaa wa Bongo Movie, Steve Mengere aka Steve Nyerere.
Jamaa alikuwa anamaanisha kabisa kuhusu safari yake kwenye Siasa, hapa nina pichaz kutoka kutoka viwanja vya CCM Bwawani ambapo Steve alikuwa akitangaza nia hiyo.

Mapokezi ya Steve Nyerere alivyotangaza kugombea Ubunge wa Kinondoni (Pichaz)

Steve II
Kwenye list ya mastaa wa TZ waliotangaza kugombea Ubunge kwenye Uchaguzi wa 2015 lipo pia jina la mastaa wa Bongo Movie, Steve Mengere aka Steve Nyerere.
Jamaa alikuwa anamaanisha kabisa kuhusu safari yake kwenye Siasa, hapa nina pichaz kutoka kutoka viwanja vya CCM Bwawani ambapo Steve alikuwa akitangaza nia hiyo.

ULIMIC KUIONA ILE COLLABLE YA NAVIO NA MR. BLUE NIMEKUWEKEA HAPA

LAYIII

Blue & Navio
Mwezi February 2015 Rapper kutoka Uganda, Navio alitua TZ kwa ajili ya show ambayo ilifanyika Club Billz, Dar es Salaam ilimshuhudia star huyo alipofanya uzinduzi wa Video ya Hit song ya ‘Kigozi‘.
Uwepo wa Navio ndani ya TZ ulikuwa na kingine kizuri, walikutana na Mr. Blue na kupiga collabo ambayo tayari imefanyiwa video… kama hujakutana na video hiyo basi unaweza kuchukua kama dakika nne hivi kuicheki hapa.



Msanii wa Afrika aliyegoma kwenda kwenye tuzo za BET kwa makusudi, dharau imehusika..

LAYIII
Fuse ODG 2Kitendo cha BET ambayo ni Television kubwa ya Marekani kwenye ulimwengu wa burudani kuwapa Wasanii wa Afrika tuzo zao kwa time tofauti na tuzo wanazoshinda wasanii wakubwa wa Marekani kama Beyonce na Chris Brown kiliwahi kulalamikiwa na wengi akiwemo Ommy Dimpoz.
Hata Davido aliposhinda mwaka jana kwenye sehemu ya Interview Diamond alieleza kwamba tuzo za wasanii wa Afrika huwa hazitolewi pamoja na zile za kina Beyonce, wasanii kwenye kipengele cha Afrika waliitwa asubuhi na mapema wakati ukumbi ukiwa mtupu bila watu ndio mshindi akakabidhiwa tuzo alafu badae jioni ndio kina Beyonce wakakabidhiwa kwenye event yenyewe lakini ukitazama kwenye TV huwezi kugundua sababu wanaunganisha kijanja.

MTOTO WA JK ATHIBITISHWA MAREKANI KUWA NA AKILI NYINGI......AIWAKILISHA TANZANIA VIZURI KWA KUPOKEA MEDANI

LAYIII
mtoto wa Rais JK, Khalfan Jakaya Kikwete ameiwakilisha TZ vizuri kwa kushinda medali Marekani katika mashindano ya kusaka wanafunzi wenye akili nyingi.

Mtoto wa Rais JK na ushindi wa Medali Marekani, Urais CCM.. Ushirikina kwa Walimu Mara

29
Jumatatu JUNE 29 2015 tayari siku nyingine imeanza, stori za Magazetini zina headlines nyingi tofauti tofauti, unajua nini kimetawala leo?
Kwenye stori kubwa iko ya Edward Lowassa kuwakimbiza wenzake katika safari ya kugombea Urais CCM, UKAWA yawasha moto wa BVR Dar es salaam kwa kutoa elimu ya matumizi ya mashine hizo.. iko nyingine pia kuhusu mtoto wa Rais JK, Khalfan Jakaya Kikwete ameiwakilisha TZ vizuri kwa kushinda medali Marekani katika mashindano ya kusaka wanafunzi wenye akili nyingi.

Sunday, 28 June 2015

VANESSA NILIFANIKIWA NILIPO FIKA STUDIO ZA MILLADAYO

LAYIII
Interview ya Vanessa Mdee alipokuja kwenye studio za Millard Ayo ! kawataja Tunda Man na Baby J
vTunae mwimbaji wa bongofleva Vanessa Mdee kwenye hii post ambaye kapita TZA kwenye studio za Millard Ayo na kuzungumzia mafanikio yake mapya aliyoyapata hivi karibuni nje ya Tanzania.

BZMORNING NA MAGAZETI YA LEO 29/06/2015

LAYIII

.
.
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapaWWW.SWAXBZ.COM kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako

advertise here