Monday 31 August 2015

MTOTO WA MCHEZAJI BORA DUNIANI KUTOKEA BRAZIL AMENIUNGA NA CLUB YA URENO

LAYIII

Mtoto wa mchezaji wa zamani wa FC Barcelona na timu ya taifa ya Brazil Rivaldinho Rivaldo ambaye anafuata nyayo za baba yake Rivaldo katika soka, amesajiliwa na klabu ya Boavista ya

LIVERPOOL YAMSAJIRI MSHAMBULIAJI KUTOKA NIGERIA

LAYIII
Klabu ya Liverpool ya Uingereza haiko nyuma na yenyewe kumalizia masaa ya usajili yaliosalia vizuri, kila klabu ina angaika ili iweze kusajili mchezaji iliyekuwa inamtaka kwa muda mrefu au

SHUDIA MWANAMKE MREMBO ANAVYOIBA NA KILICHOENDELEA WALITEGESHA KAMELA

LAYIII
Jamaa wametegesha video camera sehemu alafu wakatafuta Mwanamke mrembo ajifanye mwizi wa kuchomolea watu mfukoni, hii imetokea Marekani lakini najua kama wangetegesha

HAWA NDIO WATOTO WA MASTAA WENYE USHAWISHI MKUBWA SANA MTU WANGU

LAYIII
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na ushawishi mkubwa ndani ya jamii zinazowazunguka, mbali ya kupata mikata minono ya kutangaza bidhaa mbalimbali pia wamekuwa wakizungumziwa hasa katika mitandao ya kijamii.

CHEZA KWA MADOIDO YA YAMOTO BAND IPO HEWANI SASA

LAYIII
Yamoto Band walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya ‘Cheza kwa Madoido’ chini ya Mtayarishaji GodFather.

DK SLAA MBELE YA WAANDISHI WA HABARI NI NINI KINAENDELEA KUWA NAMI HAPO CHINI

LAYIII
Ni kweli katibu mkuu wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA Dr. Wilbroad Slaa amekua kimya toka Edward Lowassa ajiunge na CHADEMA akitokea CCM lakini August 31 2015 kituo cha TV cha STAR TV kimetangaza kuhusu Dr. Slaa kwamba atazungumza kwa mara ya

SHERIA YA MITANDAO YAANZA KAZI RASMI

LAYIII
Huu ndio utakua mwisho wa makosa ya kimtandao Tanzania??? sababu sheria hii imepitishwa na kuanza kutumika leo mahususi kwa wote wanaotumia vibaya mtandao.

HUYU NDO MWANAMKE ANAYE TAKA KUWA RAIS WA TANZANIA

LAYIII
Kampeni za uchaguzi mkuu wa Tanzania 2015 zimeshaanza tayari na tumewaona Wanasiasa mbalimbali wakisimama mbele ya Watanzania kutumia time yao kuwashawishi wapate zile

DAKTARI WA DIAMOND ATAFIA STUDIO

LAYIII
Musa Mateja na Gabriel Ng’osha
YAMEKUWA hayo! Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ anahofiwa kufia studio kutokana na kufanya kazi kwa muda mrefu pasipo kupumzika

KAMA HUKUJUA HAWA NI WATAYARISHAJI, NI WAIMBAJI

LAYIII

Mwimbaji na Mtayar-ishaji wa Studio ya Sharobaro, Bob Junior.
PAMOJA na kufanya kazi ya kutayarisha ngoma kali za wasanii mbalimbali wa Bongo Fleva lakini

UGOMVI WA YOUNG KILLER NA EDO BOY WAZUA MENGINE

LAYIII
Wiki iliyopita Soudy Brown alizungumzia ugomvi wa Edo Boy na Young Killer hadi kupelekana Polisi, leo tena unaendelea.
Baada ya Edo Boy wiki iliyopita kugoma kuzungumza, leo amezungumza na kusema ni kweli alikua

KUTANA NA WASHINDI WA TUZO ZA MTV VMA’s 2015

LAYIII
Jumapili ya tarehe 30 August 2015 ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zilichukua headlines kubwa sana jijini Los Angeles Marekani.

KANYE WEST RAIS WA MAEKANI MWAKA 2020 KUFUATIA KUTANGAZA KWAKE NIA

LAYIII
Kanye West na Kim Kadarshian walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo za MTV Video Music Awards 2015… na siku zote watu wamezoea kupokea vituko kutoka kwa Kanye viwe vya kufurahisha ama kusikitisha usiku hauwezi kuisha bila kumsikia Kanye West.

Sunday 30 August 2015

BINADAMU WA AJABU ANAYEFANYA KAZI NYINGI KWA MASAA

LAYIII
KUMBUKA HII IMEKAA KIUDAKU ZAIDI NOT PROVE ZEN LETS GET TOTHE POINT OK
 ......MAAJABU YA DUNIA.....
Huyu ndie binadamu wa hatari zaidi na mwenye maajabu Duniani na anasifa kuu 7.
1:Anauwezo wa kufanya kazi kwa wiki bila kula.
2:hakuzaliwa na Mama,bali alizaliwa na Baba.
3:Anauwezo wa kutabiri ya kesho nayakawa sawia.
4:Anaongea zaidi ya lugha zipatazo 10,000.
5:Anaweza kutembea umbali mlefu bila kupumzika.
6:Hakuwahi kunyonya maziwa kwa mama wala ya mnyama.
7:Alizaliwa anajuwa kuongea,pindi alipokuwa na umri wa siku 3.
NINI MTAZAMO WAKO KWA KIUMBE HUYU.


HUU NDIO UFUNGUZI WA KAMPENI ZA ACT CHINI YA KIONGOZI WAO MKUU ZITO KABWE

LAYIII

Bado harakati za uzinduzi wa kampeni za siasa zilikuwa zikiendelea katika maeneo tofauti Dar Es Salaam, August 30 ilikuwa ni siku ya uzinduzi wa kampeni za chama cha ACT- Wazalendo

MAGUFULI KAKANA KULAZWA ICU,SUMAYE ALIPUKA, RICHIMOND.........KUHUSU MWAKYEMBE



MWANANCHI
Wakati Waziri Mkuu wa zamani, Fredrick Sumaye akitangaza kuihama CCM, alidokeza kuwa siku moja chama hicho kitaona umuhimu wake, na jana alianza kuonyesha hilo alipopangua hoja dhidi ya mgombea urais wa Ukawa, Edward Lowassa huku akianika uozo wa Serikali.

Saturday 29 August 2015

KAMA UMEPITWA NA HOTUBA YA UKAWA HII HAPA

LAYIII
Tukiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani August 23 Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilizindua kampeni zake za kunadi sera zao na ilani ya chama chao utaratibu huo

USIKU WA CHISTIAN BELLA NA YAMOTO BAND ULIVYO KUWA

LAYIII

Screen Shot 2015-08-29 at 4.42.55 PM

Ni wajibu wangu mtu wangu kukusogezea kila kinachonifikia na hii nisingependa ikupite,  Usiku August 28 ilikuwa ni usiku wa aina yake kwa upande wa burudani na ilitendewa haki na Christian Bella akiwa na Malaika Band pampja na Yamoto band

NIMEKUWEKEA PICHA ZA AWALI HUKO JANGWANI MTU WANGU

LAYIII

Friday 28 August 2015

MAN U YAKAMILISHA USAJILI WA KEVIN

LAYIIII
Kupitia kwa mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Wolfsburg ya Ujerumani Klaus Allofs amethibitisha kwa mshambuliaji wa zamani wa Chelsea kurudi katika Ligi Kuu Uingereza. Klaus Allofs amethibitisha kuwa klabu ya Wolfsburg imeridhia kumuachia Kevin De Bruyne ajiunge na klabu ya Manchester City.
De-Bruyne-main
De Bruyne akipiga picha na mashabiki wakati akiwa njiani kuelekea Manchester usiku wa August 28
Kevin De Bruyne atakuwa anarejea katika Ligi Kuu Uingereza ikiwa ni miezi 18 imepita

BZMORNING TANZANIA HAYA NDO MAGAZETI YA LEO 29/08/2015

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 28,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,

MBUNGE (WEMA SEPETU) ALIYESHINDWA AKALIBIWA NA KIPINDUPINDU

LAYIII
Brighton Masalu
Taarifa za ugonjwa wa kipindupindu zimebadili mfumo wa maisha ya watu wengi ikiwa ni pamoja na kuhakikisha maeneo wanayoishi ni masafi lakini nyumbani kwa msanii wa filamu Bongo, Wema Sepetu, Kijitonyama jijini Dar hali ni tofauti

NAVY KENZO WAZIDI KUCHANA ANGA

layiii


Kundi linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo.
Boniphace Ngumije
KUNDI linalofanya kweli kwenye gemu la muziki, Afrika Mashariki la Navy Kenzo, linaloundwa na wasanii ‘couple’, Aika na Nahreal limezidi kuchana anga baada ya wimbo wao unaoitwa Game

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA MAGAZETI YA LEO 28/08/2015

LAYIII
.
.
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 28,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa,

Magazeti 18 ya Tanzania August 28 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews( na millardayo.com)

layiii
trending-news
Uchambuzi wa magazeti kupitia @CloudsFM umefanyika tayari, ninazo zile zote zinazoweka headlines kwenye magazeti leo 28 August 2015 baadhi zikiwa…

KUTOKA UTURUKI WALIKOWEKA KAMBI TAIFA STAR HII NDIYO REPORT

LAYIII
Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars bado ipo nchini Uturuki inaendelea na kambi yake ya siku nane kujiandaa kabla kucheza mechi dhidi ya timu ya taifa ya Nigeria Super Eagles ya kuwania kufuzu AFCON 2017, mchezo utakaopigwa Septemba 5 katika Uwanja wa Taifa Dar Es Salaam.
ball
August 27 kocha wa Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa ametoa ripoti kuhusu maendeleo ya kambi hiyo sambamba na hali za wachezaji, Mkwasa amethibitisha wachezaji kuwa katika hali nzuri

Thursday 27 August 2015

Aunt Ezekiel, Wolper, Shamsa Ford walivyojitokeza kwenye mkutano wa ukawa August 27(POST YOTE NI KWA MUJIBU WA MILLARDAYO.COM)

LAYIII
Screen Shot 2015-08-27 at 8.43.21 PM
.
2015 ni mwaka wa headlines za Uchaguzi ambapo leo Agosti 27 Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) walifanya mazungumzo na mgombea Urais kupitia UKAWA, Mhe. Edward

MESSI ATANGAZWA MCHEZAJI BORA ULAYA KWA MWAKA 2014/2015

LAYIII
Hatua ya upangwaji makundi ya UEFA yaliambatana sambamba na kumchagua mchezaji bora wa mwaka wa Ulaya, waliyokuwa wanawania tuzo hiyo ni Lionel Messi, Cristiano Ronaldo na Luis Suarez.
messiwin
Lionel Messi ametangazwa mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Ulaya kwa mwaka 2014/2015, hiyo ni kauli ya Messi baada ya kutangazwa mshindi.

KAMPENI YA KINGWENDU YANIVUNJA MBAVU

LAYIII

Ona video yake hapo chini

MUGABE APATA WAKATI MGUMU BAADA YA KUZOMEWA NA WABUNGE WA CHAMA PINZANI

LAYIII

Wabunge wa upinzani Zimbabwe hawakumuacha Rais MUGABE hivi hivi…


mugabee
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuzomewa na wabunge wa vyama vya upinzani wakati akilihutubia Taifa akiwa bungeni.
Wabunge wa upinzani wa nchi hiyo walianza kuzomea  wakati Mugabe akiendelea na hotuba yake jambo ambalo lilimlazimu kukaa kimya kwa muda huku wakishinikiza msimamo wao kuwa nchi

HII NDIYO KAULI YA ARSENE WENGER KUHUSU USAJIRI KLABU YA ARSENAL

LAYIII
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambaye amekuwa akiwakwaza mashabiki wa klabu hiyo kwa tabia yake ya kutopenda kutoa fedha nyingi ili apate mchezaji wa kiwango cha juu, Wenger ni kocha ambaye amekuwa na misimamo ya kutopenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu.
Arsene Wenger
Hii ni taarifa kutoka kwake kwani baada kutokubali kukiri wazi kuwa ana mpango wa kufanya usajili msimu huu, August 27 imebidi aweke wazi kama sehemu ya kuwatuliza jazba mashabiki wa timu ambao walikuwa wakiamini kuwa huenda kocha huyo hana mpango wa kusajili tena msimu huu.

Wednesday 26 August 2015

MAGUFULI AZIDI KUGALAGAZA MIKOANI HUKO

LAYIII

.
.
Wakati Ukawa wakiwa wamezuiliwa kutumia uwanja wa Jangwani uliopo Dar es Salaam kwenye shughuli za kampeni uchaguzi 2015, sasa hapa nina picha ambazo zikimuonesha mgombea

HATIMAYE DENNIS LASWAI AIBUKA MSHINDI WA TMT 2015

LAYIII

Mshindi wa TMT msimu wa pili, Dennis Laswai akiruka kwa furaha mara baada ya kutajwa kuwa mshindi.

MAJIBU YA DIAMOND KWA DIVA BALAAA ETI LABDA NINGEKUWA NIMEKUKAZA HEHEHEHEH

LAYIII

DIAMOND AMCHANA DIVA BAADA YA KUMTUPIA VIJEMBE!! ADAI LABDA ANGEMKAZA ASINGEMWONGELEA

HAWAKAI ZIZI MOJA, WANAKULA NYASI ZILEZILE!

LAYIII
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’.
Unapowazungumzia mastaa waliojizolea mashabiki wengi Bongo kupitia muziki wa Kizazi Kipya, huwezi kuacha kuwataja Ali Saleh Kiba na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Wasanii hao,

POLISI YAZUIA ZIARA ZA LOWASSA ZISIZO RASMI

LAYIII
.
.
Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limepiga marufuku wagombea wa vyama vya siasa kufanya vitendo vinavyo hatarisha usalama wa raia na mali zao kwa kufanya mikusanyiko isiyo rasmi kwenye masoko na vituo vya daladala.

Tuesday 25 August 2015

NIMEKUSOGEZEA VIDEO ZOTE ZA LOWASSA AKITEMBEA KWA MIGUU MITAANI JIJINI DAR ES SALAAM

LAYIII
EL 1Mgombea Urais wa UKAWA 2015 Edward Lowassa alianza ziara ya kuingia mitaani Dar es salaam Aug 24 2015 ili kukutana na Wananchi uso kwa uso na kusikiliza matatizo yao.

Monday 24 August 2015

Vipengele 25 vya MAGUFULI, Kadi feki za wapigakura, Maneno ya MKAPA, SUMAYE na wasomi je?..#StoriKUBWA {CONTENT ZOTE NA MILLARDAYO}

LAYIII

CLIK
HABARILEO
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeweka historia na kujenga heshima ya taifa kwa kuweza kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mfumo wa BVR kwa mafanikio makubwa na kuyashangaza mataifa makubwa duniani.

ONGEZEKO LA UZITO LIMEMFANYA ZIDANE AMWONDOE HUYU JAMAA KIKOSINI

LAYIII
Real Madrid Castilla ni timu ya pili au ya wachezaji wa akiba wa klabu ya Real Madrid ya Hispania lakini ni sehemu ya Academy ya klabu ya Real Madrid na hushiriki katika Ligi ya Segunda Division B. Meneja wa Real Madrid Castilla ni mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye amewahi kuitumikia klabu ya Real Madrid Zinedine Zidane.
eero-main
Zidane kushoto, upande wa kulia Markkanen
Timu hiyo ya wachezaji wa akiba kupitia kwa meneja wake Zinedine Zidane

EEE BWANA EEEE CHEKI HII JEURI YA FEDHA YA HUYU JAMAA

LAYIII

Jeuri nyingine ya fedha kwa bondia Floyd Mayweather na hili gari lake jipya..


may
Bondia wa kimataifa Floyd Mayweather  haishiwi Headlines, mara nyingi Stori zake nyingi zinahusiana na utajiri alionao.

Friday 21 August 2015

DIAMOND PLATNUMZ NA STAR MKUBWA MAREKANI KUJA NA BONGE LA SONG WAKO STUDIO NOW

LAYIII

.
.
Tanzania inaendelea kujichukulia headline baada headlines tuliona Coke Studio Africa iliwakutanisha Ali Kiba na staa wa Marekani Ne-YO Nairobi kwenye kuandaa single mpya.

MGOMBEA URAIS TLP ARUDISHA FORM

LAYIII

.
.
Ni mwaka 2015 na headlines zake za uchaguzi mkuu Tanzania ambapo leo baadhi ya wagombea Urais wamefika kwenye ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi Dar es salaam

Collabo ya Ice Prince na Ali Kiba, mafanikio ya Jua Kali, Ali Kiba na alichokipata kwa Neyo..255 (Audio) NA MILLARDAYO

LAYIII

neyo

255 leo inatokea Kenya..Kulikua na tukio la uzinduzi wa Coke studio msimu wa tatu.. mastaa mbalimbali wa Afrika walikuwepo, leo Ice Prince amezungumza na kusema amefurahi sana

VANESSA , NEVY KENZO NEW HIT MTU WANGU

LAYIII


MAGUFULI ARUDISHA FORM OFFICE ZA NEC

LAYIII
.
.
Baada ya Lowassa kurejesha fomu ya kugombea Urais 2015 katika ofisi za NEC,  sasa ni time ya mgombea kutoka kwenye Chama cha Mapinduzi (CCM) , Dkt John Pombe Magufuli akiwa na

Wednesday 19 August 2015

BZMORNING TANZANIA KUTANA NA KAULI YA ZARI .............HAKUNA CHA DNA HAPA

layiii

.
.
Good morning mtu wangu..
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 20,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines

MANENO YA DIAMOND KUHUSU SMS ALIZO MTUMIA WEMA

LAYIII
Diamond AyoTVIlikua August 17 2015 Dar es salaam kwenye birthday party ya Rommy Jones ambaye ni ndugu wa mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz vilevile ndio official Dj wake ambapo vilevile AyoTV

MISS TANZANIA YASAMEHEWA RASMI

LAYIII

December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka

NIMEKUSOGEZEA MATOKEO YA MECHI YA Man United Vs Club Brugge (Picha&video)

LAYIII
Ikiwa zimepita siku kadhaa tu toka Ligi Kuu mbalimbali barani Ulaya zianze August 18 imepigwa michezo kadhaa ya kutafuta nafasi ya kufuzu kucheza katika hatua ya makundi ya Kombe la klabu bingwa barani Ulaya, michezo iliochezwa ni pamoja na mchezo ambao umewakutanisha Manchester United dhidi ya Club Brugge ya Ubelgiji.
1363998392555
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa nyumbani wa klabu ya Club Brugge nchini Ubelgiji katika uwanja wa Jan Breydel wenye uwezo wa kuchukua mashabiki 29,472, mchezo umemalizika kwa klabu ya Manchester United kuibuka na ushindi wa jumla ya goli 3-1 magoli ya

KIPINDU PINDU CHATISHIA DAR

LAYIII

10
HABARILEO
Mbunge wa Mpwapwa aliyemaliza muda wake na kushindwa katika kura za maoni alipoomba ridhaa ya wanachama wa CCM kuwania tena ubunge wa jimbo hilo, Gregory Teu, amesema hatakuwa

Tuesday 18 August 2015

KWA KILECHA SINTOFAHAU LULU AJIACHIA NA DIAMOND USIKU WA MANANE

LAYIII

Mwandishi Wetu
UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ëLuluí anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ëDiamond Platnumzí, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

KAKOSA KAZI YA URUBANI NA KUISHIA JELA

LAYIII
baltic
Usafiri wa anga japo kumekuwa na Ripoti mfululizo kuhusu ajali za ndege lakini bado, usafiri wa anga unaendelea kuwa usafiri salama zaidi Duniani.

advertise here